DC Godwin Gondwe awaomba radhi waandishi wa habari kufuatia DED wa Temeke kumkemea Richard wa ITV

DC Godwin Gondwe awaomba radhi waandishi wa habari kufuatia DED wa Temeke kumkemea Richard wa ITV

Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.
Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.

Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Source ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!
Huyo atatumbuliwa sasa hivi.

Anashindwaje kusoma hulka ya boss wake?
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.
Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.

Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Source ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!
Nyota ya Kimafanikio ya DC Godwin Gondwe ilianza Kuwakia hapo ITV na Radio One hivyo ningeshangaa kama asingejipendekeza Kwao kama hivi.
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.
Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.

Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Source ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!

Mkurugenzi wa Temeke ndio mwenye biashara ya kuosha magari pale Kijitonyama kwa David? Asije kufikiria yuko kijiweni kwake😂😂😂😂
 
Huyo DED ajue tu kiburi si maungwa..vyeo vinamwisho
 
Mkurugenzi amejaa kiburi asilindwe! Achukuliwe hatua haraka [emoji1009]
 
Subiri utajua makonda yuko wapi usije ukaona aibu sio tena mkuu wa mkoa bali waziri
Tuwakumbushe watawala wa Afrika kuwa kushika hatamu haukufanyi ugeuke kuwa injinia, daktari, mhasibu, mwanasayansi au mtaalam zaidi! Power doesn’t suddenly increase your knowledge or qualify you to be anything more than you were! Waache u-much-know wawe humble!
 
Karma itamla tu,muda ni msema kweli.
Pole
Acha iliniuma na inaniuma sana na namuombea tu aondolewe au apelekwe vijijini hukooo!!!mjini hapamfai hata kidogo!!!yaani sio mtu huyu ni mnaafiki
 
Kwani waziri wa tamisemi anasemeje? Ooh hatuna baraza la mawaziri tunabana matumizi...
 
Vilongwa mbali vitendwa mbali
Kongole kwake mh.Gondwe....

Wewe tunaufahamu UZALENDO HEKIMA BUSARA NA HESHIMA ZAKO....

Hakika huo ndio USTAARABU kwani taifa letu hili haliwezi kurudi nyuma kwa baadhi ya watu KUTOLEWA LUGHA ZA KASHFA NA ZILIZOKOSA UTU NA HESHIMA....

CCM imelijenga taifa hili ndani ya imani kuu 3:
1.Binadamu wote ni sawa
2.Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
3.Ujamaa na kujitegemea ndio njia sahihi ya KUJENGA JAMII iliyo sawa na huru.

Kudos mh.Double G

MAENDELEO HAYANA VYAMA
 
Back
Top Bottom