Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini unaandika ovyo na kufanya mawazo yako yawe ovyo.Jitahidi kwenye uandishi!!REO. na RAS kilimanjaro, ni wapiga dili ndio ukweli.kwa sababu. Aliyemuandikia mwalimu barua ya kuhama mwalimu wa lyamungo sekondari Mkurugenzi wa wilaya ya Hai amekiri kuwa ni REO na RAS kilimanjaro,na siku hiyo hiyo kwenye akaumt ya shule ziliingizwa TSH milion 800.kwa mantiki hiyo takukuru imerahisishiwa kazi ni kukamata REO na RAS kilimanjaro,then uchunguzi inaanza,kwenye uchunguzi watakamata watu kibao waTamisemi.peleka mahakamani,
Ila umesema pointi.REO. na RAS kilimanjaro, ni wapiga dili ndio ukweli.kwa sababu. Aliyemuandikia mwalimu barua ya kuhama mwalimu wa lyamungo sekondari Mkurugenzi wa wilaya ya Hai amekiri kuwa ni REO na RAS kilimanjaro,na siku hiyo hiyo kwenye akaumt ya shule ziliingizwa TSH milion 800.kwa mantiki hiyo takukuru imerahisishiwa kazi ni kukamata REO na RAS kilimanjaro,then uchunguzi inaanza,kwenye uchunguzi watakamata watu kibao waTamisemi.peleka mahakamani,
Hakuna sifa,hapa kaumbua matendo yaliyokuwa yamejificha kwa muda mrefu.Suala hili likifuatiliwa kuna madudu yataanikwa wazi.Kuna uonevu wa kipigaji sana kama huo alivyofanyiwa mkuu huyo wa shule.Rais anapambana sana na mambo kama haya lakini bado kuna utemi utemi wa kipigsji sana.DC Sabaya unahangaika sana.
Umeamua kuja hadi jf kutafuta sifa za kijinga!!! It's what it's.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akili. Issue ya shule na Ardhi wapi na wapi. Kwa taarifa yako ktk mambo mazuri aliyoyafanya DC Sabaya hapo Hai ni pamoja na suala la Ardhi. Migogoro amemaliza hapo wilayani. Issue ya title sidhani kama anatoa afisa Ardhi,hiyo ni issue ya Kamishna wa Ardhi.Dc wa Hai angetupia macho na Utendaji wa idara ya Ardhi hapo kwenye wilaya yake; angewasaidia sana wananchi wa wilaya hiyo. Idara hiyo inanuka rushwa; title deeds hazitoki bila hongo!!! Amuulize huyo afisa wake wa Ardhi [ JACOB] kwanini anawazungusha watu kupata hati zao?
Utakuwa Noha Jackson, au chemele au KimataHivi Headmaster bado ni Sanga?,
Kwa wale wote tuliopita hapo Advance.
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
DC kamrudisha ili ampe muongozo wa kupiga hizo pesa,sabaya ni tapeli na ndio mana kwenye gari yake akiwa chuga hukosi matapeli sugu humo ndani.Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
Namjua huyo jamaaa kanisumbua kiazi yuleDc wa Hai angetupia macho na Utendaji wa idara ya Ardhi hapo kwenye wilaya yake; angewasaidia sana wananchi wa wilaya hiyo. Idara hiyo inanuka rushwa; title deeds hazitoki bila hongo!!! Amuulize huyo afisa wake wa Ardhi [ JACOB] kwanini anawazungusha watu kupata hati zao?
REO. na RAS kilimanjaro, ni wapiga dili ndio ukweli.kwa sababu. Aliyemuandikia mwalimu barua ya kuhama mwalimu wa lyamungo sekondari Mkurugenzi wa wilaya ya Hai amekiri kuwa ni REO na RAS kilimanjaro,na siku hiyo hiyo kwenye akaumt ya shule ziliingizwa TSH milion 800.kwa mantiki hiyo takukuru imerahisishiwa kazi ni kukamata REO na RAS kilimanjaro,then uchunguzi inaanza,kwenye uchunguzi watakamata watu kibao waTamisemi.peleka mahakamani,
Lugola sawa, Kigwangala kafanywaje?Wamejisahau kwa awaking hii sio ya kupiga, wawaulize lugola na kigwangala.