DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

Upigaji hauwezi kuisha nchini! Na sababu kubwa ni kutokuwepo kwa mgawanyo walau unao karibiana wa keki ya Taifa. Wanao faidi ni wachache.

Na ndiyo maana kila anayepata fursa, hujiangalia yeye kwanza badala ya ile jamii anayo ihudumia.
 
REO. na RAS kilimanjaro, ni wapiga dili ndio ukweli.kwa sababu. Aliyemuandikia mwalimu barua ya kuhama mwalimu wa lyamungo sekondari Mkurugenzi wa wilaya ya Hai amekiri kuwa ni REO na RAS kilimanjaro,na siku hiyo hiyo kwenye akaumt ya shule ziliingizwa TSH milion 800.kwa mantiki hiyo takukuru imerahisishiwa kazi ni kukamata REO na RAS kilimanjaro,then uchunguzi inaanza,kwenye uchunguzi watakamata watu kibao waTamisemi.peleka mahakamani,
Duh! Hapo hadi sasa naona kama kuna nafasi ya wazi ya RAS na REO, mungu nijaalie niipate mie moja ya nafasi hizo! Maana watu wanazichezea na hawaridhiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Informer wake wapo vizuri sana kwa kunusa harufu hii
Hakuna kitu,mbona ile issue ya reli walinusa hewa,iliishia wapi,mbona kimya mpaka leo? Hata hii tutajua tu jinsi walivyonusa hewa.Fuatilia vizuri,utajua tu.
 
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.

Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.

Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.

DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.

Akasema hapa ndipo tatizo.

Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.

Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.

Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
Kiutumishi hana uwezo huo.
Lakini kwa awamu hii, katiba na sheria za nchi havina maana yoyote. Lolote asemalo mkubwa kwa utashi wake hufanyika.
 
Dili nyingi za upigaji halmashauri zinaanzia TAMISEMI hadi wizara ya fedha.

Zikishapigwa pesa,kila kitu kinaenda sawa kuanzia taarifa ya utekelezaji,ukaguzi wa ndani na nje pia.

Hakuna siku utasikia popote kuna hela zimepigwa.Labda ukute mbunge aliyepo ni CCM tena awe machachari.Akiwa upinzani,watasema mmezoea kulalamika kila kitu.Hakuna kitakachofuatiliwa.Ila namuona PM kama mtu makini sana.Anafanya kazi bila mhemko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.

Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.

Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.

DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.

Akasema hapa ndipo tatizo.

Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.

Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.

Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
Nitashangaa sana iwapo RAS na REO mkoa wa Kilimanjaro Kama Hadi sasa hawajachukua hatua za kujiizulu au wanagojea Hadi wasimamishwe kazi kwa aibu .ninawashauri wawajibike haraka iwezekanavyo
 
Huyu ndio Masai wa kweli. Sokoine mwingine huyu. Hapindishi wala kumumunya maneno. He is always firm on issues!

Hongera Simba.
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.

Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.

Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.

DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.

Akasema hapa ndipo tatizo.

Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.

Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.

Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikilizeni mkuu wa shule ya sekondari Lyamungo.ili mtambue afisaelimu mkoa wa Kilimanjaro na RAS mchezo wanao ufanya kuonea walimu ili waweze kupata njia ya kuiba fedha za serikali.Takukuru sikilizeni hii clip mjue pa kuanzia kukamata watuhumiwa.Dc hai shujaa.Mwl Paulina,REO Kilimanjaro,unangoja Hadi usimamishwe kazi?jiwajibishe mwenyewe.
 

Attachments

  • VID-20200419-WA0013.mp4
    25.2 MB
Back
Top Bottom