Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko busy na vyombo vya dolaMambo kama haya yalitakiwa yazungumzwe na mbunge, lakini Mbowe yuko kimya hazungumzii kabisa kero hizi mpaka ziibuliwe na mkuu wa wilaya Ole Lengai Sabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Hapo hadi sasa naona kama kuna nafasi ya wazi ya RAS na REO, mungu nijaalie niipate mie moja ya nafasi hizo! Maana watu wanazichezea na hawaridhiki.REO. na RAS kilimanjaro, ni wapiga dili ndio ukweli.kwa sababu. Aliyemuandikia mwalimu barua ya kuhama mwalimu wa lyamungo sekondari Mkurugenzi wa wilaya ya Hai amekiri kuwa ni REO na RAS kilimanjaro,na siku hiyo hiyo kwenye akaumt ya shule ziliingizwa TSH milion 800.kwa mantiki hiyo takukuru imerahisishiwa kazi ni kukamata REO na RAS kilimanjaro,then uchunguzi inaanza,kwenye uchunguzi watakamata watu kibao waTamisemi.peleka mahakamani,
Hakuna kitu,mbona ile issue ya reli walinusa hewa,iliishia wapi,mbona kimya mpaka leo? Hata hii tutajua tu jinsi walivyonusa hewa.Fuatilia vizuri,utajua tu.Informer wake wapo vizuri sana kwa kunusa harufu hii
Kiutumishi hana uwezo huo.Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
Nitashangaa sana iwapo RAS na REO mkoa wa Kilimanjaro Kama Hadi sasa hawajachukua hatua za kujiizulu au wanagojea Hadi wasimamishwe kazi kwa aibu .ninawashauri wawajibike haraka iwezekanavyoIko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala barua ya kumuita ahojiwe makosa yake.
DC kawasomea mwongozo wa hizo pesa headmaster atakuwa msimamizi mkuu na ndiye atasimamia pesa zote na kamati zitakazoundwa.
Akasema hapa ndipo tatizo.
Wambieni hilo dili sio serikali ya Magufulii huyu headmaster hatoki na mkurugenzi kaambiwa aandike barua kufuta huo uhamisho.
Aisee bado TAMISEMI hawajashtuka hii sio serikali ya dili kama walivyozoea enzi hizo, inasikitisha sana.
Well done Mr DC salute kwako mzee wa Hai.