DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

Madaraka ya kulevya matamu sana ndo maana ata mtu akiharibu zaidi kujiengua hataki ndo wanachopenda kufoka hivo
 
hizi takataka zinazo itwa DC na RC zinapata kiburi sababu tu zina tumia sheria ya kipumbavu ya kuweka watu ndani kwa kutumia jeshi la polisi na hapo tu ndipo wanapo jiona wao wapo juu kuliko wengine lakin nje ya hapo ni taka taka tuu
 
Anautafuta ukuu wa mkoa wa Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kwanza kwa haraka haraka unaweza sema anamwambia gambo
 
Mimi sijaelewa hapa.

Yaani Darasani yupo Mwalimu, alafu kaingia Mwanafunzi kachelewa Monitor ndio anamfokea Mwanafunzi huyo mbele ya Mwalimu.

Hapa kuna mawili, Monitor anajiona ni Mjuaji kuliko hata Mwalimu, au Mwalimu haoni kosa la huyo Mwanafunzi linalostahili kufokewa.
 
Ila Jerry ana tatizo la kupanic sana apunguze mihemko cheo ni dhamana kuumbuana vile haipendezi si angemwambia pembeni, kujitaftia umaarufu kwa kuumiza wengine huwa kuna mwisho mubaya, mi mwenyewe naona Jerry ali overeact had wa pembeni wakaona aibu, pia kuna video alimfunga mwananchi bila kumsikiliza mbona Joketi anafanya vzuri na hana mihemko ya kuzalilisha watu.
 

kweli mfano baadhi ya hizi video
 

Attachments

Aisee Muro hajiamini. Tulidhani Jokate ndio ataharibu zaidi.. kumbe mzee mzima ndio anaxidi kuharibu kwa KUPANIK.
Mara amsemee mbovu mbunge Nasary. Hivi Muro ile ofisi ya one room unataka ufanyie nini ? Hopeless and bogus guy
 
Katika hali ya kuonesha kujisahau, kupitiwa au kutozoea nafasi yake, Jerry muro alijikuta akijitambulisha kama mkuu wa mkoa badala ya mkuu wa wilaya....

Clipp hii hapa chiniView attachment 859349
Ndoto za mchana huwaga za kweli ujue, we subiri atakapoletwa Mzizima hapo halafu huyo wa mzizima akapewa wizara ya simu na ndege (dreamliner)!
 
kweli mfano baadhi ya hizi video
Kawa too much mpaka sasa haipendezi kuanza kuijenga CV yako kisiasa kwa mambo ya ajabu ipo siku mbeleni itamu mu cost kabisa. Anayo nafasi ya Ku change au ugeni wa cheo unamsumbua.
 
Katika hali ya kuonesha kujisahau, kupitiwa au kutozoea nafasi yake, Jerry muro alijikuta akijitambulisha kama mkuu wa mkoa badala ya mkuu wa wilaya....

Clipp hii hapa chiniView attachment 859349

Ushauri wangu tusimjadili Jerry Muro huku mioyoni mwetu tukiwa tumetawaliwa na itikadi zetu za Uchama / Usiasa bali tumjadili Kiutendaji zaidi. Ndiyo anaweza akawa ana mapungufu yake kama Binadamu yoyote yule ila nasi pia tusisahau kwamba Watendaji wengi wa Serikalini katika ngazi mbalimbali walikuwa wameshajisahau, wamelemaa na kuzifanya Ofisi za Serikali kama vile ni kwa Wajomba na Shangazi zao. Kwa maoni yangu ni mapema mno kama siyo sana kuanza kusema kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro hafai / hatoshei katika hiyo nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…