I dont have that lookEeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!π‘π‘π‘π³π³π³π³ Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!!
Jinyoosheni wenyewe....tuDC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
Msomi kama huyu anakubali kudhalilishwa na 'msaka tonge'! aisee nami ningemjia juu tena kwa sana hadi aone cha moto! mie ni mteule wa raisi kama yeye! kama vipi nirudi zangu chuoni!Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?
Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]
Hajaiba kura nini?Mkurugenzi atatumbuliwa
DED NI PHD HOLDER na ni mkurugenzi wa Arusha DCDC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
Hawajapinga kuulizwa kwa nini kachelewa lugha na mazingira vinatumikaje?Kwa nini achelewe?
Mkuu wa wilaya hayuko juu ya Mkurugenzi wa halmashauri/ManispaaYuko sahihi kabisa. Kiitifaki inatakiwa kufika sehemu kabla ya bosi wako
Lakini tukumbuke kuwa wanaiga toka kwa Jiwe kwa namna anavyoendesha nchi na yeye Jiwe mwenyewe anafurahia namna hao PhD holders wanavyodharirishwa mbele ya media!
PhD holder ana mshahara mkubwa kuzidi wa DED, DC hata mkuu wa Mkoa. Ukiongeza na uwezekano wa consultancy na winning big project, ni nonsense kuwa DED then ukatukanwa na vijana wa CCM. Pamoja kuna umuhimu wa kuwa na DED msomi ili atumie tafiti kuleta maendeleo ila ni aibu kutukanwa mbele za watu.DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
ππππππππHuyu alipaswa kuwa mkuu wa kamati ya mdundiko pale yanga