Na hilo ndio linalofuata, Jerry hajawai kuwa kiongozi, anafikiri ndan ya wilaya ye peke yake ndio mtendaji, hawa watu watakachomfanya, atarudi kwao kwa magotiNdiyo inavyokuwa... Huyo jeri ashukuru tu yalaiti mie ndiyo ningekuwa huyo DED afu ndiyo anategemea kwenye mafungu yangu nimwezeshe hakuna rangi ambayo angeacha kuona
😂😂😂😂😂😂kichaa anateua vichaa wenzakeNdio tatizo la wakuu wa Wilaya kueuliwa na kichaa!
Ila na huyo mwenye PHd analo la kujifunza toka hapo, mtu umesoma na una malengo yako uwe msomi ulobobea uwe profesa, from no where unateuliwa tu kijingajinga na wewe unakubali,tena anaekuteua anajinasibu ni kichaa na wengi mnajua bado mnakubali kuteuliwa.Basi mkubali na kutukanwa na mabashite yake.Uprofesa sahauni.
Kwa taarifa ni kuwa waraka umepelekwa kwenye vyuo vyote vya umma kuwa mwanataaluma yoyote aliyeteuliwa na jiwe,akishindwa huko alikopelekwa basi asipokelewe pindi atakapoomba kurudi baada ya kutumbuliwa alikoteuliwa.
Kazi mnayo
Hakika nimeshtushwa na Video inayomwonyesha Mkuu wa Wilaya Jerry Muro akimtukana Mkurugenzi wake kwa kuchelewa kwa dakika 10.Nilitegemea Mkuu wa Wilaya angetumia japo busara ndogo kabisa ya kuendelea na ratiba yao baada ya kumaliza tena wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ndipo angemuuliza Mkurugenzi wake kwanini alichelewa.Kitendo cha kumtukana Mteule mwenzako mbele ya anaowaongoza sio cha busara.Viongozi tuwe mfano wa kauli nzuri lwa wasaidizi wetu tusitumie ubabe.Kidumu chama cha mapinduzi.
Hako hapoView attachment VID-20180905-WA0022.mp4mkuu.. kaweke sasa hako kavideo, wengine hatujakiona!
Sio kweli.Mkuu wa wilaya hayupo juu ya ded, wote ni wateile wa Rais kwa level ya wilaya.
Eti mchizi MOXDAB alipata cheo chake kimizengwe, halafu kajipa cheo cha naibu mkulu na mshauri wa kugawa vyeo. On a sasa ushauri aliotoa kwa mchizi MOX !