Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Huyo anayefokewa kama mtoto mdogo ni PhD holder, mwalimu wa Hesabu Chuo kikuu mlimani. Ona jinsi wanasiasa wanavyogeuza wasomi wetu kama wanasesere!
Huyo dogo inabidi amuombe msamaha mbele ya waandishi wa habariNa Malisa GJ
Mkuu wa Wilaya Jerry Muro anamtukana Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha DC, Dr.Wilson Mahela (PhD) mbele ya Mkuu wa mkoa na macamera ya waandishi wa habari yanawamulika. Uongozi wa kijinga sana huu. Kanuni za maadili ya uongozi haziruhusu kufanya huu utoto. Kama Mkurugenzi alichelewa kufika, kuna namna bora ya kumuwajibisha ambayo ingekua na tija kuliko huu ujinga uliofanya Jerry. Tatizo mnateuliwa teuliwa tu bila hata kupewa semina elekezi.
Mtu hajawahi kuwa hata CR darasani leo anakuwa DC ama RC what do u expect? Matokeo yake ndio haya ya kuja kutukanana hadharani na mnaona sifa kurekodiwa. Halafu wewe Jerry sio mamlaka ya nidhamu ya DED. Pengine huo uDC umekulevya. Mamlaka ya nidhamu ya DED ni RAS. Kwahiyo kama alichelewa ungeweza kuzungumza nae baadae na kumueleza masikitiko yako, na kama angekaidi ungemripoti kwa RAS. Sio kutukanana hadharani.
Unamtukana DED na kumuita mpuuzi na mpumbavu hadharani, halafu unategemea awasimamie watendaji wa Halmashauri. How that possible? Atawasimamiaje wakati wameona akiitwa mpuuzi na mpumbavu hadharani? Na wenyewe watampuuza tu kama ulivyompuuza wewe. Ni aibu viongozi kuzozana hadharani. Wahenga walisema wazazi wapumbavu pekee ndio wanaoweza kugombana mbele ya watoto. Kulikua na tatizo gani mngeendelea na hiyo ziara then badae mkae na kujadili?
Halafu kichekesho unamlaumu DED kwa kuchelewa dakika 10, lakini wewe umepoteza dakika nyingi zaidi kumtukana. Hivi lengo lako lilikua kuokoa muda kweli?
Huyu Dr.Wilson Mahela ni PhD holder. Amefundisha chuo kikuu UDSM muda mrefu wakati wewe ukifanya ukanjanja kwenye media. Amekuzidi umri, amekuzidi elimu, amekuzidi busara. Kama umeshindwa kumheshimu kwa nafasi yake basi ungemheshimu hata kwa umri wake tu.
Then huyo DED unayemdhalilisha ndo anayekuweka mjini. Tunajua maDC hamna budget. Mnalelewa na ofisi za DED kwa kila kitu. Hadi mafuta ya gari mnaomba kwao. Sasa how comes unamdhalilisha mtu anayekufanya usurvive? Kesho ukimuomba mafuta akikunyima utamfanya nini? Au ndo utaita tena macamera uanze kumtukana? Growup na uache sifa za kijinga. Uongozi ni kujifunza. Take time to learn from your elders kabla ya kukurupuka. Unajidhalilisha na kumdhalilisha aliyekuteua.!
Na yeye si ndie boss wa mkuu wa wilaya? hapo ipoje? Jamani!!!Huyo wa katikati si ndie RC mbona kimya
Acha kupotosha.Mkuu wa wilaya hayuko juu ya Mkurugenzi wa halmashauri/Manispaa
Natumaini Mhe. Rais ameona hiyo clip. Katika dhana ya Utawala Bora kitendo kama hicho hakivumiliki hata kidogo. Tena DED ni mtu mwenye PhD ni mtu wa kuheshimiwa.
Sio kweli.
Kwa mtu anayejua umuhimu wa DC, anapata tabu sana akiona wanaoteuliwa kuwa DCs leo hii. Uharibifu ulianzia kwa utawala wa awamu ya awamu ya pili. Na dhambi walizozifanya watawala waliotangulia ndizo zinawafanya wakae kimiya katika lundo la uovu wa watawala wa sasa. Nani wa kumshauri rais? Mtu aliyewahi kuwa kiongozi mkuu wa nchi, aliyestahili kuheshimu katiba ya nchi, aliyestahili kuwaona watu wote ni sawa, anasimama kutetea chama chake na kuwaona wenye mawazo tofauti na chama chake ni wapumbavu, mazuzu, na hilo analionea fahari.
Sasa wajue kama katiba inachezewa kiasi hiki na marais wastaafu wapo na wanakaa kimya wakumbuke, ipo siku katiba itachezewa kwa kuwaondelea kinga walizonazo katika katiba hiyo wanayoichezea sasa. na wao watalipa kwa gharama kubwa sana.
Sio sahihi kumuita Presidential appointee mwenzako mpuuzi mbele ya uma.Kisa hujateuliwa hahahaaaa chama bomu hili
Embu tufafanulie we ujuavyo, wako vipAcha kupotosha.
Siyo kweli. Ingekuwa hivyo DC asingeweza kumfokea. DC ni mwakilishi wa Rais ktk wilayaMkuu wa wilaya hayuko juu ya Mkurugenzi wa halmashauri/Manispaa
Taitizo ni kuteua viongozi kwa mihemko na sifa ,eti wakitukana wapinzani wakikusifia ndio unawateua hii si busara,kuna vyuo vinatoa viongozi kama Hombolo au basi akiwateua awape semina,tunalekea kubaya sanaNa Malisa GJ
Mkuu wa Wilaya Jerry Muro anamtukana Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha DC, Dr.Wilson Mahela (PhD) mbele ya Mkuu wa mkoa na macamera ya waandishi wa habari yanawamulika. Uongozi wa kijinga sana huu. Kanuni za maadili ya uongozi haziruhusu kufanya huu utoto. Kama Mkurugenzi alichelewa kufika, kuna namna bora ya kumuwajibisha ambayo ingekua na tija kuliko huu ujinga uliofanya Jerry. Tatizo mnateuliwa teuliwa tu bila hata kupewa semina elekezi.
Mtu hajawahi kuwa hata CR darasani leo anakuwa DC ama RC what do u expect? Matokeo yake ndio haya ya kuja kutukanana hadharani na mnaona sifa kurekodiwa. Halafu wewe Jerry sio mamlaka ya nidhamu ya DED. Pengine huo uDC umekulevya. Mamlaka ya nidhamu ya DED ni RAS. Kwahiyo kama alichelewa ungeweza kuzungumza nae baadae na kumueleza masikitiko yako, na kama angekaidi ungemripoti kwa RAS. Sio kutukanana hadharani.
Unamtukana DED na kumuita mpuuzi na mpumbavu hadharani, halafu unategemea awasimamie watendaji wa Halmashauri. How that possible? Atawasimamiaje wakati wameona akiitwa mpuuzi na mpumbavu hadharani? Na wenyewe watampuuza tu kama ulivyompuuza wewe. Ni aibu viongozi kuzozana hadharani. Wahenga walisema wazazi wapumbavu pekee ndio wanaoweza kugombana mbele ya watoto. Kulikua na tatizo gani mngeendelea na hiyo ziara then badae mkae na kujadili?
Halafu kichekesho unamlaumu DED kwa kuchelewa dakika 10, lakini wewe umepoteza dakika nyingi zaidi kumtukana. Hivi lengo lako lilikua kuokoa muda kweli?
Huyu Dr.Wilson Mahela ni PhD holder. Amefundisha chuo kikuu UDSM muda mrefu wakati wewe ukifanya ukanjanja kwenye media. Amekuzidi umri, amekuzidi elimu, amekuzidi busara. Kama umeshindwa kumheshimu kwa nafasi yake basi ungemheshimu hata kwa umri wake tu.
Then huyo DED unayemdhalilisha ndo anayekuweka mjini. Tunajua maDC hamna budget. Mnalelewa na ofisi za DED kwa kila kitu. Hadi mafuta ya gari mnaomba kwao. Sasa how comes unamdhalilisha mtu anayekufanya usurvive? Kesho ukimuomba mafuta akikunyima utamfanya nini? Au ndo utaita tena macamera uanze kumtukana? Growup na uache sifa za kijinga. Uongozi ni kujifunza. Take time to learn from your elders kabla ya kukurupuka. Unajidhalilisha na kumdhalilisha aliyekuteua.!
Kuna kauli Jerry kaongea akimwambia DED 'usinidharau',binafsi naona Jerry ana inferiority complex kwa jamaa na hiyo bila shaka ndiyo inamfanya ahamaki bila sababu ya msingi.
Inaonyesha jamaa kamzidi kila kitu,elimu,uchumi na probably kukubalika na watumishi katika collidor za halmashauri.
Mwaka gani alikupigia nondo pale kilimani?Nimesikitika kuona mwalimu wangu wa hesabu akidhalilishwa hivi mbele za watu. Bora angebaki zake Udsm aendelee kufundisha