DC Jokate, huu ni muda sasa wa kubadili aina ya mavazi yako

DC Jokate, huu ni muda sasa wa kubadili aina ya mavazi yako

Mkuu umuoe anatafuta bwana kwa nguvu zote na amewahi kusema waziwazi, huyo hata boda anamuona maana ana kiu ya kuolewa lakini hapati mwanaume, japo ni mjane mdogo wa taifa lakini ndiyo hivyo tena.
Ha ha ha! Mkuu!!! Mjane mdogo wa taifa!!!
 
Kwako DC Jokate

Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.

Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.

Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.

Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.

Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.

Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.

Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.

Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza

View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
1624629081764.png
1624629081764.png

👆Hilo jicho linatazama nini tena kwenye kifua cha watu! Hili ni jicho la kidadisi na mwenyewe wala hajui kinachoendelea, yupo na camera tu😂🤣😂!
 
Sijaona kasoro katika mavazi yake labda kosa kumuiga Mzee wa Bunda
1624630218036.png
 
Japokuwa hajaolewa ndugu yangu Una lako jambo wewe ushakuwa ndugai sasa unataka atolewe mbona huyu ni dada na mavazi yake ni suti nzuri tuu
 
Mbona matiti hayaonekani? Mkuu, ukisoma comments zote hapa, utagundua kuwa wewe ndiye mwenye mtizamo wenye makosa...
JF wengi ni liberals, ila mtaani kuna conservatives wengi ambao hawapendi wanawake waache vifua wazi in public, Hata muongozo wa mavazi ya watumishi wa umma unakataza mwanamke kuacha kifua wazi
 
Kwako DC Jokate

Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.

Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri...
Huyu mmatengo ananikosha sanaa
 
Muongozo wa Mavazi ya Watumishi wa Umma unakataza KUACHA KIFUA WAZI, Jokate anavaa suti yes lakini anaacha kifua wazi!

images (23).jpeg
 
Back
Top Bottom