Nimeangalia picha nyingi za wanawake waliowahi kuwa viongozi nchini, yeye ndo amezidi ile frequency ya kuachia kifua nje.
Sasa wewe mtazamo wangu umekuwashia Nini?Hizo iman zingine zimekufanyaje? Pilipili kwa jirani wewe unakutatiza nini? Au ulishawahi lazimishwa kuvaa ushingi dada wewe?
Kwani alishaolewaga?Kwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe...
Napenda watu watoe maoni.
Tuendelee kumshape ndugu DC ili imani ya umma kwake iongezeke
Kwamba hata hapo kajitahidi kuficha.....Sijaona tatizo kwa imani yake bado hiyo nguo ni ya kistaarabu tu.
Naona ujumbe umefikaWewe ni mwanamke, huwezi kuelewa!
Hizo ni hisia zako, tuu ulitaka avae shungi kwan ofisi ya Umma ni eneo la Ibada, wacha hizoNimeangalia picha nyingi za wanawake waliowahi kuwa viongozi nchini, yeye ndo amezidi ile frequency ya kuachia kifua nje.
Nowadays one has to ask: is this a dude? 😂Nimekuja nikafikiri kavaa Batty Rider.
Una tatizo binafsi. Mavazi aliyovaa ni sahihi kabisa na hakuna vazi linaonesha cleavageKaka kifua hicho hujakiona?, kitu waitiiiii!
Mchirizi unaotenganisha chuchu unauona!