Yani nilinde sungusunguIdadi polisi sio kubwa kiasi cha kuwawezesha kulinda mitaa na vitongoji vyote vya nchi hii.
Hivyo Ulinzi Shirikishi ni muhimu sana. Muhimu ni kuwekwa utaratibu maalumu wa jinsi gani ufanyike na wananchi waelimishwe juu ya umuhimu wa wao kujilinda. Tukiwaachia Polisi kila kitu tutaendelea kupigwa
Bas lifumuliwe tuajiriwe wananchiTuliwaambia kipindi cha Magufuri wizi ulikoma,watu wakawa wanabisha,hatukuwahi kusikia hizi ngojera,kila mtu aliwajibika kwa kazi yake,sasa kazi ya polisi tunapewa sisi wananchi, wakati kuna watu wanakula mshahara na mavx kwa kodi ya mlala hoi,Kama polisi kazi imewashinda kuna jeshi la ziada liazimwe
Kwa hiyo kama hawatoshi serikali haina plani zaidi ya kuwapa wananchi kazi? Je silaha tunapewa ama?Unadhani polisi wapo wengi wa kutosha kulinda kila mtaa?
Isitoshe suala la usalama/ulinzi huanzia kwa mtu binafsi.
Kama hutaki kuchangia ulinzi wako binafsi shauri yako.
Ulinzi Shirikishi upo kisheria mkuu wanguUlinzi shirikishi haupo kisheria na ni wa hiari, wananchi waelimishwe umuhimu wake na washawishiwe kujiunga nao na sio kutumia nguvu kama DC wangu anavyofanya, police ni wajibu wao kulinda raia na mali zao (wamekula kiapo),police watching na siasa na watekeleze wajibu wao bila y kuingiliwa na politicians. Wazo ni zuri ila lifanyike kiustaarabu sio vitisho(mrema na sungusungu yake...Adv.Mabere alimfundisha sheria)
Vibaka wengi ni watoto wa hawa hawa viongozi ambao walikataa shule wenyewe.DC. Jokate Mwegelo: Ametoa siku saba kwa wenyeviti wa serikali za mitaa kuunda Vikundi vya Ulinzi Shirikishi katika Mitaa yao.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Temeke Mhe.Jokate Mwegelo ametoa siku saba kwa wenyeviti wa serikali za mitaa wilayani humo kuhakikisha wanaunda vikundi vya ulinzi shirikishi.
Agizo hilo amelitoa leo Aprili 29,2022 alipokuwa akizungumza na wenyeviti hao katika ukumbi wa Iddi Nyundo uliopo katika Manispaa hiyo.
Mwenyekiti huyo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya hiyo amewataka viongozi hao kuhakikisha suala la ulinzi na usalama linapewa kipaumbele ili kuwezesha wananchi kuishi kwa usalama.
"Ninatoa siku 7 muhakikishe kule ambapo hakuna vikundi vya ulinzi shirikishi mnaanzisha vikundi hivyo na kule ambapo vilikuwepo ila vinalegalega mviimarishe".Alisema Mhe.Jokate
Kwa upande wake Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar es salaam,Muliro Jumanne Muliro amesema kuwa uhalifu unatokea pale ambapo hakuna ulinzi na kusisitiza kuwa suala la ulinzi ni jukumu la kila raia.
"Ili uhalifu utokee lazima kuwepo na fursa,na fursa ni pale ambapo hakuna ulinzi kwa kile ambacho mhalifu anachokusudia kufanya".Alisema Afande Muliro.
Kikao hicho ambacho kilihusisha kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya,wenyeviti wa serikali za mitaa pamoja na baadhi ya vikundi vya ulinzi shirikishi kilikuwa na lengo la kuweka mikakati ya jinsi ya kukabiliana na wimbi la vitendo vya uhalifu ambavyo vimeanza kujitokeza kwa siku hizi za karibuni.
View attachment 2205003
View attachment 2205004
View attachment 2205005
View attachment 2205006
View attachment 2205007
View attachment 2205008
Wakati wa jpm polisi walikuwa wangapi ? tumia akili kufikiri acha kutumia kijambio kufikiriIdadi polisi sio kubwa kiasi cha kuwawezesha kulinda mitaa na vitongoji vyote vya nchi hii.
Hivyo Ulinzi Shirikishi ni muhimu sana. Muhimu ni kuwekwa utaratibu maalumu wa jinsi gani ufanyike na wananchi waelimishwe juu ya umuhimu wa wao kujilinda. Tukiwaachia Polisi kila kitu tutaendelea kupigwa
Wapo mbona wanapotaka kupiga watu virungu wanatoa lesho kuwa Askari mmoja anaweza kushugurikia watu 100, kwani hao vibaka ni wangapi? kipindi cha Magufuri walifanyaje mpaka hao panya wakakomeshwa, kingine Samia ndiye ameongeza hao vibaka, kufukuza machinga mtaani kumefanya vibaka kuongezeka maana wengine walikuwa wamejiajili kwa njia ya umachinga, Sasahivi Samia kawafukuza wote,unafikiri wataishije wasipo kaba watu?Unadhani polisi wapo wengi wa kutosha kulinda kila mtaa?
Isitoshe suala la usalama/ulinzi huanzia kwa mtu binafsi.
Kama hutaki kuchangia ulinzi wako binafsi shauri yako.
Macho mawili ya picha ya pili yanatosha kabisa kufanya huo ulinziDC. Jokate Mwegelo: Ametoa siku saba kwa wenyeviti wa serikali za mitaa kuunda Vikundi vya Ulinzi Shirikishi katika Mitaa yao.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Temeke Mhe.Jokate Mwegelo ametoa siku saba kwa wenyeviti wa serikali za mitaa wilayani humo kuhakikisha wanaunda vikundi vya ulinzi shirikishi.
Agizo hilo amelitoa leo Aprili 29,2022 alipokuwa akizungumza na wenyeviti hao katika ukumbi wa Iddi Nyundo uliopo katika Manispaa hiyo.
Mwenyekiti huyo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya hiyo amewataka viongozi hao kuhakikisha suala la ulinzi na usalama linapewa kipaumbele ili kuwezesha wananchi kuishi kwa usalama.
"Ninatoa siku 7 muhakikishe kule ambapo hakuna vikundi vya ulinzi shirikishi mnaanzisha vikundi hivyo na kule ambapo vilikuwepo ila vinalegalega mviimarishe".Alisema Mhe.Jokate
Kwa upande wake Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar es salaam,Muliro Jumanne Muliro amesema kuwa uhalifu unatokea pale ambapo hakuna ulinzi na kusisitiza kuwa suala la ulinzi ni jukumu la kila raia.
"Ili uhalifu utokee lazima kuwepo na fursa,na fursa ni pale ambapo hakuna ulinzi kwa kile ambacho mhalifu anachokusudia kufanya".Alisema Afande Muliro.
Kikao hicho ambacho kilihusisha kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya,wenyeviti wa serikali za mitaa pamoja na baadhi ya vikundi vya ulinzi shirikishi kilikuwa na lengo la kuweka mikakati ya jinsi ya kukabiliana na wimbi la vitendo vya uhalifu ambavyo vimeanza kujitokeza kwa siku hizi za karibuni.
View attachment 2205003
View attachment 2205004
View attachment 2205005
View attachment 2205006
View attachment 2205007
View attachment 2205008
"Yaani nikeshe usiku nazunguka mitaani na rungu bila malipo halafu kesho yake niende ofisini kwangu?"Kwa hiyo polisi wanalipwa kwa kazi gani?
Does it mean ule upuuzi wa kulinda sungusungu?
Yaani nikeshe usiku nazunguka mitaani na rungu bila malipo halafu kesho yake niende ofisini kwangu?
Hivi vidangaji vya bongo muvi vilipewa vipi machaka kama haya!!!
Imekuwa kama lazima.Ulinzi shirikishi haupo kisheria na ni wa hiari, wananchi waelimishwe umuhimu wake na washawishiwe kujiunga nao na sio kutumia nguvu kama DC wangu anavyofanya, police ni wajibu wao kulinda raia na mali zao (wamekula kiapo),police watching na siasa na watekeleze wajibu wao bila y kuingiliwa na politicians. Wazo ni zuri ila lifanyike kiustaarabu sio vitisho(mrema na sungusungu yake...Adv.Mabere alimfundisha sheria)
Kubambikia watu Makosa barabarani, wote wameota vitambi Kwa kuwa traffic PoliceSasa kazi ya polisi ni nini
Hivi huwezi kujibu hoja kwa ustaarabu bila kutukana? Kuna sehemu yoyote kwenye hoja yangu nimetukana? Anyway nimesamehe. Acha maisha yaendeleeWakati wa jpm polisi walikuwa wangapi ? tumia akili kufikiri acha kutumia kijambio kufikiri
Ulinzi shirikishi ni jambo la kawaida; huwezi kutegemea polisi wachache kulinda kila sehemu.Kwa hiyo polisi wanalipwa kwa kazi gani?
Does it mean ule upuuzi wa kulinda sungusungu?
Yaani nikeshe usiku nazunguka mitaani na rungu bila malipo halafu kesho yake niende ofisini kwangu?
Hivi vidangaji vya bongo muvi vilipewa vipi machaka kama haya!!!
Acha uongo, nipe vifungu vyake vya kisheria na kumbuka Mwendazake aliuua huu ili apate kufanikisha alichokitaka,usalama na wajibu wa jeshi la polisi kisheria sio raia, hizi CPF ni za kujitolea sio lazima, tumekosea wapi kama nchi?Ulinzi Shirikishi upo kisheria mkuu wangu
Tumeruhusu maisha yetu yaamuliwe na politicians na chawa wao...police stateImekuwa kama lazima.
Nilisikia fununu huku mtaani kwetu eti usipoenda kulinda unalipa elfu kumi.