DC Jokate Mwegelo atoa siku saba kwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa kuunda Vikundi vya Ulinzi Shirikishi katika Mitaa yao

DC Jokate Mwegelo atoa siku saba kwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa kuunda Vikundi vya Ulinzi Shirikishi katika Mitaa yao

Kwa hiyo polisi wanalipwa kwa kazi gani?
Does it mean ule upuuzi wa kulinda sungusungu?
Yaani nikeshe usiku nazunguka mitaani na rungu bila malipo halafu kesho yake niende ofisini kwangu?
Hivi vidangaji vya bongo muvi vilipewa vipi machaka kama haya!!!
Mkuu hama huo mkoa sio wa kiume
 
Mnazunguka mbuyu anayesababisha haya yote yupo Makunduchi anapiga upepo wa bahari.
Kwa nini watu hawajiulizi why kipindi cha Magufuli haya mambo yaliisha,kuna vitu tufanye democrasia na kuna mengine tutumie njia zingine kuyakabili.

Mbinu ya Magufuli itumike katika hili LA vibaka na wezi-wanarudisha nyuma maendeleo.
 
Kwenye vibaka na majambazi-vyuma vitembee uone kama kutakuwa na wizi wa kipimbavu.
Kwenye wizi wa Mali za umma-mtu akithibitika anyongwe.
 
Defund TanPol. Fund local police
No Wilaya ya Temeka ipeleke maombi ya polisi 50 CCP Moshi na wakae na Polisi kuangalia jinsi watakavyoweza kufanya kazi pamoja na ikiwezekana, Wilaya ikipunguza mahitaji wanaweza kuajiriwa na jeshi la polisi.
 
Kwa hiyo polisi wanalipwa kwa kazi gani?
Does it mean ule upuuzi wa kulinda sungusungu?
Yaani nikeshe usiku nazunguka mitaani na rungu bila malipo halafu kesho yake niende ofisini kwangu?
Hivi vidangaji vya bongo muvi vilipewa vipi machaka kama haya!!!
Ndiyo matokeo ya wenye akili ndogo kupewa madaraka. Ila Tanzania bila wananchi kumka na kukiwasha hakutakuwa na mabadiliko yoyote na hawa watawala wataendelea kutuona mazuzu. Wananchi tungekuwa wakali vijitu vya namna hii hata uenyekiti wa nyumba kumi visingepewa.
 
No Wilaya ya Temeka ipeleke maombi ya polisi 50 CCP Moshi na wakae na Polisi kuangalia jinsi watakavyoweza kufanya kazi pamoja na ikiwezekana, Wilaya ikipunguza mahitaji wanaweza kuajiriwa na jeshi la polisi.
Ndugu zangu, bila kufumua mfumo na kusuka kila kitu upya ni bure kabisa. Tungekuwa tumerudisha madaraka na maamuzi kwa wananchi haya mambo yanafanywa kimkoa au kiwilaya kwa kutumia viongozi halali waliochaguliwa na wananchi na siyo hivi vyangudoa. Wananchi wangewawajibisha viongozi wao kama wanaona wanalegalega na usalama unakuwa wa mashaka. Hata kama ni kuajiri local security gurds ingekuwa rahisi kwani kila sehemu ingekuwa na uwezo wa kukusanya mapato na kuwalipa. Hawa washenzi wameshatuona sisi ni mazuzu ndiyo maana wanatoa amri za kijinga kama hizi. Unawezaje kumwambia dereva au mfanyakazi yoyote akeshe akilinda wakati kesho yake anatakiwa kazini na kodi analipa? Hizo kodi zinaenda wapi?
 
Ndugu zangu, bila kufumua mfumo wa kusuka kila kitu upya ni bure kabisa. Tungekuwa tumerudisha madaraka na maamuzi kwa wananchi haya mambo yanafanywa kimkoa au kiwilaya kwa kutumia viongozi halali waliochaguliwa na wananchi na siyo hivi vyangudoa. Wananchi wangewawajibisha viongozi wao kama wanaona wanalegalega na usalama unakuwa wa mashaka. Hata kama ni kuajiri local security gurds ingekuwa rahisi kwani kila sehemu ingekuwa na uwezo wa kukusanya mapato na kuwalipa. Hawa washenzi wameshatuona sisi ni mazuzu ndiyo maana wanatoa amri za kijinga kama hizi. Unawezaje kumwambia dereva au mfanyakazi yoyote akeshe akilinda wakati kesho yake anatakiwa kazini na kodi analipa? Hizo kodi zinaenda wapi?
Anaagiza watu wakeshe huku yeye anakesha kwenye shuka na mumewe
 
Tungepunguza police post maana sasa hivi polisi wetu ni maafisa wanangoja waletewe wahalifu. Uanze tena utaratibu wa doria. Polisi wawe usiku kucha wanazunguka kwenye makazi ya raia. Vituo vitakavyobaki vipatiwe usafiri ili likitokea tukio waweze kufika mapema. Ni aibu vibaka waachiwe kutamba kwa saa nzima wakati polisi wanangoja kupambazuke ndio wafike kwenye tukio.

Amandla...
Polisi huwa wanazungukia bar pekee
 
Ke deal na vibaka ,watu wenyewe wajipabge tu wakiwa banika kadhaa
Msg sent

Ova
 
Back
Top Bottom