DC Kihongosi: Wanaohoji mimi kuwachapa bakora Wafanyabiashara hawana hoja. Niliowachapa wamelipa sh 5,400,000.00 kama fidia

Huyo uliyetaja anawatia hadi vibao mawaziri wake na matusi juu,muulize Kabudi.
 
huyu dogo nilifikiri katuliamo kichwani kumbemo mtupu
 
Ina maana bila kuwachapa wasingelipa hiyo fidia?

Tanzania inapitia kipindi kigumu sana.
Wangesumbua Sana, ila baada ya bakora kila mtu aliwahi kwenye kibubu kuhofia kula bakora Tena.
 
Kwani wamelipa kwa sababu ya kuchapwa au kwa sababu ya kuvunja sheria..!!??
 
Two wrongs don't make a right, umekosea omba msamaha na uache kutuuliza Tashititi.
 
Huu ni udhalilishaji,kukutwa na kitu cha wizi haimaanishi kuwa wewe ndo umeiba,pili kulipa faini kwa hao wahusika huenda kimetokana na vitisho,ni mahakamani pekee ambako mtu anaweza hukumiwa kuchapwa fimbo na kulipa faini

Hawa wafanyabiashara wameonenewa,haiwezekani watawara kuwa wanajichukulia sheria mikonononi za kuwacha watu bakora eti kisa tu wao wamehisi wamekosea,

Watetezi wa haki za binadamu wamekaa kimia juu ya hili,kiufupi mkuu wa wilaya kakosea sana
 
Siku yeye akiitwa na Na wajuu wake hata RC tu na akamtandika Viboko hadharani atamuona RC ni mzalendo? Kuna mambo hayataki mihemko na sifa za kijinga hio ni kutafuta publicity, Very cheap and unprofessional achukuliwe hataua huyo kwa kudhalilisha watu
 
Mamlaka ya kushtaki na kuhukumu kayatoa wapi?
 
Na waliokubali kutegesha matako yao ni wapumbavu zaidi,na bado
Mi 5 tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…