Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Huyo uliyetaja anawatia hadi vibao mawaziri wake na matusi juu,muulize Kabudi.Hivi huyo mpumbavu alishaona Magufuli anacharaza watu viboko?
Je bila kuwacharaza viboko wasingelipa hiyo hela? Huu ni upuuzi wa hali ya juu sema tu wengi hawajaelimika, huyu alikua ni wa kufungulia mashtaka kabisa, yeye anapiga mtu kama nani? Ni mahakama au?