Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 

Attachments

  • 5693904-733139b74b770431863bceb3e11f571f.mp4
    2.3 MB
Sasa ni kwanini wamemtumbua Nape ambaye na yeye alisema UKWELI kama huuhuu!!🤔
Na ni kwanini wanaanza kusema ukweli kipindi hiki tena bila kuulizwa?
Au ndo ukweli wa ule msemo, " karma never forget your address" inakurudia tu hata kama ni baada ya miaka 100!
 
Huyu ni sawa na alivyoropoka Nape tu, hakuwa na nia njema ila kadukuliwa kwa Bahati mbaya
Very true ,Kuna madiwani watakua walichukizwa maana sio kwa kujimwambafy huko anawafokea Kama watoto kwamba bila ya yeye na hisani ya CCM madiwani si chochote

Ndio maana kwenye viapo huwaga wanasema NTATUNZA SIRI NA SITO TOA SIRI ZA SERIKALI
 
Najaribu kuwaza aliechomesha hiyo video na kutoa nnje maneno ya humo kikaoni.

Muogope sana mwanadamu Mnafki anaekuchekea chekea.

Washamchomesha mwenzao tayari.
 
Very true ,Kuna madiwani watakua walichukizwa maana sio kwa kujimwambafy huko anawafokea Kama watoto kwamba bila ya yeye na hisani ya CCM madiwani si chochote

Ndio maana kwenye viapo huwaga wanasema NTATUNZA SIRI NA SITO TOA SIRI ZA SERIKALI
Bila DC, DED na DSO sidhani kama Kuna Diwani wa ccm anaweza kushinda. Hata DC kasema ukweli kama ulivyo.
 

Luka 12:2-4

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi.
 
Ni vyema mkawa na Umoja wa kutetea maslahi yenu mbali na Vyama vyenu. Mmedhalilishwa vya kutosha. Umoja ndo silaha yenu
 
Ni vyema mkawa na Umoja wa kutetea maslahi yenu mbali na Vyama vyenu. Mmedhalilishwa vya kutosha. Umoja ndo silaha yenu
Kule kuvalishwa majoho!!. Hadi leo unajua maana yake..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…