Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni watu wanaojitahidi sana kutopendana, sidhani kama umoja huo utadumu
 
dah? Allah atuhifadhi. Mimi nashangaa sana mtu kutumia mbinu chafu kuiba kura au lolote ili ashinde ili iwe nini?nani kaishi kaishi katika dunia hii milele? hata ukiiba kura au kudhulumu nini kitasaidia? Kama utafurahi ni muda mchache sana lkn majuta yaankuwa makunbwa mbele . kikubwa Ukifa utaenda kusema nini kwa muumba wako? Allah aniepushe na mambo kama haya, nisaysikie tu kupitia media lkn nisiyakiribie kabisa ktk maisha yangu - Aaamin
Mkuu kama ulimsikia vema Polepole kuwa wana CCM wanatembelea ma v8.
Alikuwa anamaanisha kweli kuwa wao ndiyo wanafaidi keki ya Taifa.

Hivyo wapo tayari kufanya vyovyote ili mradi wapate nafasi ya kuongoza
 
Mkuu ulitaka viongozi wa dini waseme nini? Mbona mnawalaumugi watu bila sababu kiongozi?
Udanganyifu kwenye uchaguzi huleta maafa, viongozi wa dini wana dhamana ya kuepusha nchi na maafa.
Waishauri Serikali kujiepusha na udanganyifu ili kuepusha nchi na shari zitokanazo na uchakachuaji wa matokeo.
 
Udanganyifu kwenye uchaguzi huleta maafa, viongozi wa dini wana dhamana ya kuepusha nchi na maafa.
Waishauri Serikali kujiepusha na udanganyifu ili kuepusha nchi na shari zitokanazo na uchakachuaji wa matokeo.
Ubarikiwe sana mkuu kwa usha uri mzuri sana
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

Yuko sahihi 100%
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."



Pia soma:

Hii naifafanisha na yale malalamiko ya Trump kule Marekani akiwa anagombea awamu ya 2 kwamba Rais Biden wa upinzani alimwibia kura. Sasa kama nchi zilizoendelea kama USA nazo zinalalamika kuhusu michezo michafu basi labda ndio siasa ya dunia. Mzee anagombea tena amalizie kipindi chake cha pili akichuana na Harris Kamala, safari hii anasema patachimbika!
 
Najaribu kuwaza aliechomesha hiyo video na kutoa nnje maneno ya humo kikaoni.

Muogope sana mwanadamu Mnafki anaekuchekea chekea.

Washamchomesha mwenzao tayari.
Huyo ni mzalendo! Apewe maua yake.
 
Back
Top Bottom