Kwahiyo Bado tunaongozwa na mfu!?
Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Bado tunaongozwa na mfu!?
Mkuu tunazungumzia kiongozi au viongozi wa kitaifa.Nenda wewe utuwakilishe
Basi wewe ndo zuzu kuongozwa na mfu siye tunaongozwa na mtu hai,Samiah Suluhu HassanKabisa
Basi wewe ndo zuzu kuongozwa na mfu siye tunaongozwa na mtu hai,Samiah Suluhu Hassan
Kiprotokali si kikatibaMarehemu rais siyo Rais. Hakuna protokali hiyo yako ya kutungatunga. Kaisome katiba.
Thread 'Viongozi wenye tuhuma za Kutesa, kuua, upendeleo na wizi wasienziwe' Viongozi wenye tuhuma za Kutesa, kuua, upendeleo na wizi wasienziweMkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Nimeandika Kiprotokali siyo kikatiba! Najua wengi mnamchukiaKwa ibara ipi ya Katiba!?
Njaa tu hapo inamsumbua,akitupiwa mnofu kelele zote kwishaHuyu muhafidhina angepata uteuzi asingeandika haya.
Kachukia baada ya kuona hakumbukwi kwenye teuzi. Hapa ndiyo kajiharibia kabisaa!Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Upuuzi mtupuMkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Hiyo protokoli alikufundisha nani!!?Nimeandika Kiprotokali siyo kikatiba! Najua wengi mnamchukia
Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu[emoji23]Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Huko UN kifo chake ni muhimu bado wanatoa tribute na wanatambua kazi yake iliyotukuka.
Huko UN kifo chake ni muhimu bado wanatoa tribute.
Hana jipya huyo ni njaa tu inamsumbuaMheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu[emoji23]
Huo sasa wivu, ujapenda UN kuitambua siku ya kifo chake na kumuongelea vizuri tofauti na tunavyoaminishana dunia ilikuwa inamchukia.So what!
Kwa kulazimishana tena, eti kwenye mechi ya Yanga kabla ya kuanza itatumika kuelezea mafanikio ya raisi Samia.Huku tunasherehe ya miaka miwili