econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kiprotokali yupo sahihi! JPM bado ni Rais hadi achaguliwe mwingine 2025 ujue
Rais Marehemu?. Tuwe na akili Basi. Katiba inasema Rais akifa miaka mitatu kabla ya muda wake awamu yake inakoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiprotokali yupo sahihi! JPM bado ni Rais hadi achaguliwe mwingine 2025 ujue
Hato fufuka ila mwenacho huongezewa ni tofauti na wewe kufikia hadhi kama hiyo mhhh mybe kizazi chazi Chako Cha mia moja so magufuli ana haki yakupewa heshima zoteAkienda Rais ndio atafufuka au
HatavJerry Muro au Makonda wanaitwa wastaafu , ni lugha tu za mjiniAshastaafu [emoji28]
Kabisa
Sio ujinga unajua nini watu wengi hatufanikiwi kwasababu ya wivu na chuki wewe unaesema hivyo huna chochote Wala lolote mwenzio amefia katika ngazi kuwa zakimadaraka so ni hakiyake kupewa heshimaWatanzania ni watu ambao wako bsy kubishana na kupigania mambo ya kipuuzi.
Hayo mambo ya kumbukumbu yabaki kuwa ya kifamilia na ambaye atataka kwenda. Sasa wanataka eti raisi aende naye anawachora tu...
Sio ujinga unajua nini watu wengi hatufanikiwi kwasababu ya wivu na chuki wewe unaesema hivyo huna chochote Wala lolote mwenzio amefia katika ngazi kuwa zakimadaraka so ni hakiyake kupewa heshima
Heshima kwa marehemu, italeta impact gani? Heshima ni kumuacha apumzike kwa amani sio kwenda kupiga picha kwenye kaburi lake for political mileage.Sio ujinga unajua nini watu wengi hatufanikiwi kwasababu ya wivu na chuki wewe unaesema hivyo huna chochote Wala lolote mwenzio amefia katika ngazi kuwa zakimadaraka so ni hakiyake kupewa heshima
Hi picha halisi ya kuwa binadamu hatunashukurani leo hii samia amepata uraisi wa kwa kubebwa na magufuli lakini ndo kwanza hana habar naye
M
una watu wanaroho mbaya sana ,mama kwenye list na yeye yupo
Magu ana nini ambacho mkapa Hana!?
Of Course hata wewe utazikwa na wafu wako uko kwenu ila huna hadhi kama aliona nayo magufuli kwaio nihakiyake kupewa heshima wewe Kama kwenu akuna ata kichanga Cha kukupa heshima basi magufuli anatakiwa aeshimiwe na taifa na Wala sio hombi na Wala sio kwa magufuli kwa marais woteKwamba akienda ndo anaenda kumfufua au? Waache ujinga!!
RAIS achome kodi za wananchi toka ikulu hadi chaato kwa ajili ya kuombea wafu?
Kwanza yeye siyo mkatoliki na imani yake inawezekana haimruhusu kufanya hivyo!!
Wafu wazike wafu wao wenyewe wasirushe nyani kwenye migongo ya wengine!! Period!!
Tokea mlopokage hiyo nada sijawai ona ushaidi mpaka waleo yaani mnabaki ku bwabwaja tu ka matejaHeshima ya Nini?. Kaacha familia ya saanane ikitaabika , halafu ndio aheshimiwe?
Kwa mfano uzinduzi wa leo umekunufaisha nini?Heshima kwa marehemu, italeta impact gani? Heshima ni kumuacha apumzike kwa amani sio kwenda kupiga picha kwenye kaburi lake for political mileage.
Hakuna wivu ila ni kwamba watu wengi mko busy kupigania vitu ambavyo kiuhalisia havina faida.
The man is dead heshima za dunia hazimsaidii, huo muda mnautumia kupiga kelele pigeni kelele serikali ifanye yatakayowanufaishi ambao bado wako hai
Of Course hata wewe utazikwa na wafu wako uko kwenu ila huna hadhi kama aliona nayo magufuli kwaio nihakiyake kupewa heshima wewe Kama kwenu akuna ata kichanga Cha kukupa heshima basi magufuli anatakiwa aeshimiwe na taifa na Wala sio hombi na Wala sio kwa magufuli kwa marais wote
Vijana wako 🤣🤣🤣Duh
...sukuma gang!
Kuna sehemu nilipousifia? Mimi napinga mambo yote ambayo hayana impact kwa taifa siko hapa kufuata sijui team samia au team magufuli. Ndio maana utaona thread nyingine namponda lema kukandia bwawa la kufua umeme la magufuli.Kwa mfano uzinduzi wa leo umekunufaisha nini?
Mhhh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawewe unataka kusema mweshimiwa raisi ajae au waziri mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] si nima mbuzi tu sa sijui wakukunia nazi , sijui wakula majani [emoji23][emoji23][emoji23] by the way mbuzi mwenzangu usiteseke na usicho nachoWewe una hadhi gani mbuzi tu wewe, hata mbuzi ana heshima maana anaweza kuliwa kitoweo,
Hakuna mwenye timu na Wala hakuna anaetaka kupinga walio panga ila haikuwa sahihi Wala heshima kwamtu ambae amliongoza taifa hili nakufia akiwa bado anahaki ya kiti chake sio heshimaKuna sehemu nilipousifia? Mimi napinga mambo yote ambayo hayana impact kwa taifa siko hapa kufuata sijui team samia au team magufuli. Ndio maana utaona thread nyingine namponda lema kukandia bwawa la kufua umeme la magufuli.
Mimi sio mtu wa team.