DC Mstaafu Simon Odunga akosoa vikali jinsi Kumbukumbu ya Hayati Magufuli ilivyofanyika

sukuma gang yameshikwa chin na bado 2025 mnaenda kufutwa kabisa hata udiwani hampat.
Doh!

Sukuma gang ikiwa nje ya serikali, serikali itaazima watu maana bila ya sukumagang nchi haina watu


Uelewe wewe pimbi
 
Hahahah wameanza kuparurana 😅😅 wanaija wanasemaga hivi: as e dey sweet oohh 🏃
 
Kwani kuna mtu amemzuia kuenselea kuwa mhafidhina? Hana haja ya kutangaza.
 
Aliweka maisha yake rehani kwaajili ya nani? Nani alikuwa anataka kuyaondoa maisha yake? Yeye ndiye aliyaweka maisha ya watu wengine rehani.

Maadam ametangulia, ukurasa umefungwa.
 
Hi picha halisi ya kuwa binadamu hatunashukurani leo hii samia amepata uraisi wa kwa kubebwa na magufuli lakini ndo kwanza hana habar naye
 
Akina Odunga sio wakenya kweli?! Mmmh? Odinga, Odunga, si hao hao? Halafu mlitaka sijui rais ahudhurie, sijui rais wa Zanzibar au makamu wake, kwani ni sherehe za muungano?!
 
Huyu anamchukuliaje Rais Samia Kwa mfano? Watu dizaini ya huyu ni WA kufinywa Ili washike adabu.
 
Siwezi kuchangia hapa maana sijui utaratibu unatakiwa uweje...
 
Huyu jamaa bado yupo? Alishafukuzwa kumbe.
 
Vichekesho vingine....hivi kila mtu akisema afanye kumbukumbu ya ndugu waliofiwa si utakuwa kelele nchi nzima
 
Nilijua tu wataambulia aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…