Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Mbona wapinzani waliopo hai wanatafuna kodi zetu na hawana msaada wowote kwa taifa.So ulitaka yule mwendakuzimu aendelee kutafuna kodi zetu huku akiwa kaburini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wapinzani waliopo hai wanatafuna kodi zetu na hawana msaada wowote kwa taifa.So ulitaka yule mwendakuzimu aendelee kutafuna kodi zetu huku akiwa kaburini
Hao ndio wenyewe Mahafidhina.!!Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Unauliza makofi polisi..Jamani mbona hata Benjamin Mkapa alikua Raisi wa Tanzania , mbona hamumsemei , Kwan magufuli alikua na nn Cha ziada kuzidi Mkapa
Kiprotokali yupo sahihi! JPM bado ni Rais hadi achaguliwe mwingine 2025 ujueMkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Akienda Rais ndio atafufuka au
Kiprotokali yupo sahihi! JPM bado ni Rais hadi achaguliwe mwingine 2025 ujue
Kwahiyo Kila mwaka tuwe tunamtumia mwakilishi!?Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Dc, Kwanini watu watumie fwledha na muda ambao ni mali kwa ajili ya mfu?Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Wanasiasa 2025 kwenye uchaguzi tembeleezi Nyota ya magufuri mtashinda kwa ushindi wa sunami ya kuraWatanzania ni watu ambao wako bsy kubishana na kupigania mambo ya kipuuzi.
Hayo mambo ya kumbukumbu yabaki kuwa ya kifamilia na ambaye atataka kwenda. Sasa wanataka eti raisi aende naye anawachora tu...
Nenda wewe utuwakilisheMuda mwingine lazima ukweli usemwe. Mimi huwa nakubaliana na raisi Samia kwa mambo mengi, na pia sipo upande unaoitwa wa Sukuma gang.
Lakini kwa yaliotokea siku hii muhimu ya kumbukumbu ya raisi aliekuwa tayari kuweka maisha yake rehani kwa ajili ya watanzania wote.
Nasema hapana aisee. Serikali imechemsha na ni bora swala hili wangelitolea maelezo yanayoeleweka.
Ndio mjue hata viongozi walifurahia kifo chake mjifunze kuwa humbleKwani kuna shida wakitoa heshima ya kutambua kwamba yule alikuwa mtangulizi wake....
Kwahiyo Bado tunaongozwa na mfu!?Hata mimi nimeliona kwa angle hio
Marehemu rais siyo Rais. Hakuna protokali hiyo yako ya kutungatunga. Kaisome katiba.Kiprotokali yupo sahihi! JPM bado ni Rais hadi achaguliwe mwingine 2025 ujue
Hicho ni kichaka tu kajfichiamoUlimi hauna mfupa. Hapo kwenye CCM alitaka kusema SUKUMA GANG, ulimi ukateleza.
Good!Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu
simon.odunga.3
"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina" mwisho wa kunukuu
Kwa ibara ipi ya Katiba!?Kiprotokali yupo sahihi! JPM bado ni Rais hadi achaguliwe mwingine 2025 ujue
Dc, Kwanini watu watumie fwledha na muda ambao ni mali kwa ajili ya mfu?
Inasaidia nini?