DC Mstaafu Simon Odunga akosoa vikali jinsi Kumbukumbu ya Hayati Magufuli ilivyofanyika

DC Mstaafu Simon Odunga akosoa vikali jinsi Kumbukumbu ya Hayati Magufuli ilivyofanyika

Muda mwingine lazima ukweli usemwe. Mimi huwa nakubaliana na raisi Samia kwa mambo mengi, na pia sipo upande unaoitwa wa Sukuma gang.

Lakini kwa yaliotokea siku hii muhimu ya kumbukumbu ya raisi aliekuwa tayari kuweka maisha yake rehani kwa ajili ya watanzania wote.

Nasema hapana aisee. Serikali imechemsha na ni bora swala hili wangelitolea maelezo yanayoeleweka.
Wewe ni Sukuma gang sema hujijui
 
Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu

"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina"

Mwisho wa kunukuu.
Huyu mtu atafanya Ikulu ilipuke.
 
Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu

"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina"

Mwisho wa kunukuu.
BASI MZEE SIMON ODUNGA AGIZA LIRUDIWE KESHO
 
Hato fufuka ila mwenacho huongezewa ni tofauti na wewe kufikia hadhi kama hiyo mhhh mybe kizazi chazi Chako Cha mia moja so magufuli ana haki yakupewa heshima zote
Mnahangaika bure. Mna mpa heshima mtu asiyekuwa hai?
 
Hakuna mwenye timu na Wala hakuna anaetaka kupinga walio panga ila haikuwa sahihi Wala heshima kwamtu ambae amliongoza taifa hili nakufia akiwa bado anahaki ya kiti chake sio heshima
Wewe unadhani kwenda chato yeye kama marehemu kunamsaidia nini?
Au hiyo heshima yeye kama marehemu inamsaidia nini?
Watu wameacha hata kutembelea kaburi la nyerere kinachosaidia tu ni kwamba siku aliyokufa ni siku ya kitaifa.
Hivi wakati nyerere anakufa ulikuwa ushazaliwa au ushajitambua? Kama ulikuwa tayari basi utaelewa kuwa hata hili la magu ni kawaida na kitapita tu.
Maisha lazima yaendelee resources za nchi hii zielekezwe kutatua changamoto za walio hai.
Nchi zinazoendelea hasa kusini mwa jangwa la sahara tuko busy sana na siasa na mambo ambayo hayana tija kwa jamii. Tuko busy sana na kulinda wapiga kura, public holidays, uchawa, kujipendekeza, kupeana vyeo, na wizi wizi kuliko kufanya mambo ya maana.
 
Wewe unadhani kwenda chato yeye kama marehemu kunamsaidia nini?
Au hiyo heshima yeye kama marehemu inamsaidia nini?
Watu wameacha hata kutembelea kaburi la nyerere kinachosaidia tu ni kwamba siku aliyokufa ni siku ya kitaifa.
Hivi wakati nyerere anakufa ulikuwa ushazaliwa au ushajitambua? Kama ulikuwa tayari basi utaelewa kuwa hata hili la magu ni kawaida na kitapita tu.
Maisha lazima yaendelee resources za nchi hii zielekezwe kutatua changamoto za walio hai.
Nchi zinazoendelea hasa kusini mwa jangwa la sahara tuko busy sana na siasa na mambo ambayo hayana tija kwa jamii. Tuko busy sana na kulinda wapiga kura, public holidays, uchawa, kujipendekeza, kupeana vyeo, na wizi wizi kuliko kufanya mambo ya maana.
Sahihi
 
Rais bora ni yule asiyetumia madaraka yale yaliyoainishwa kikatiba vibaya.
Hivi tumkumbuke kwa lipi hasa...la kuua watu bila hatia? Kutesa na kubambikizia watu mikesi, wapi ben Saanane, wapi Azory ? Nani alimtwanga Lissu marisasi.

Simply hatukuwa na Rais, ni jamaa aliyeingia madarakani bila mfumo rasmi..lawama zote kwa CCM hasa Ben... na mbaya zaidi wakamgeuka ben aliyewasaidia wakamwondoa ili wabadili katiba..dadeq Mungu naye akafanya yake.

Akwende zake na hakuna kukumbuka ujinga..watanzania tuna mengi ya kufanya.
 
Mwanamke pekee alofurahia Kifo Cha JPM ni Samia.


Na hii ni sababu kichwani kwake ni ZERO , na uzeroo wake ujalidhihirisha kwenye Elimu yake, ilijaa kufelifeli ,na kusoma soma Kwa njia za mkatoo !!.
 
Muda mwingine lazima ukweli usemwe. Mimi huwa nakubaliana na raisi Samia kwa mambo mengi, na pia sipo upande unaoitwa wa Sukuma gang.

Lakini kwa yaliotokea siku hii muhimu ya kumbukumbu ya raisi aliekuwa tayari kuweka maisha yake rehani kwa ajili ya watanzania wote.

Nasema hapana aisee. Serikali imechemsha na ni bora swala hili wangelitolea maelezo yanayoeleweka.
Alikuwa tayari kuweka rehani maisha yake kwa kuteka na kuua wenzie !? Huyo hakupaswa hata kukumbukwa kwa lolote ameumiza watanzania wengi sana huyo.
 
Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu

"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina"

Mwisho wa kunukuu.
DC Mstaafu au DC aliyefukuzwa kazi
 
Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu

"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina"

Mwisho wa kunukuu.
Kwenye kumbukumbu za Nyerere na Mkapa mbona hasemi lolote?

Sukuma gang wana kazi sana na mungu wao
 
Muda mwingine lazima ukweli usemwe. Mimi huwa nakubaliana na raisi Samia kwa mambo mengi, na pia sipo upande unaoitwa wa Sukuma gang.

Lakini kwa yaliotokea siku hii muhimu ya kumbukumbu ya raisi aliekuwa tayari kuweka maisha yake rehani kwa ajili ya watanzania wote.

Nasema hapana aisee. Serikali imechemsha na ni bora swala hili wangelitolea maelezo yanayoeleweka.
Mbona hamlalamiki hakwenda kwenye kumbukizi ya kifo cha Mkapa?

Sukuma gang mna double standards sana. Hasa inapotokea jambo la mungu wenu wa Chattle
 
As long as tunakubaliana kwa pamoja (CCM na upinzani) kwamba atakaeshinda ni wa CCM basi hilo halina tatizo.

Maana maadui wakubwa wa taifa hili ni nyinyi wapinzani uchwara ambao mnaishi kwa kutumia mfumo wa mwenyekiti wenu Mbowe.
Kutesa kwa zamu ndg , mlicheka sana wkt tuna teswa , sasa mkae kwa kutulia...
 
sukuma gang yameshikwa chin na bado 2025 mnaenda kufutwa kabisa hata udiwani hampat.

Tunahitaji CCM ya watanzania wote, uchaguzi huru na haki kwa wananchi wote kwa mustakabali mwema wa taifa.
Ubaguzi ni dhambi ambayo ikianza kutumika ni hatari. Hakuna atakayekuwa salama.
Mtu yeyote anayeingiza ubaguzi kwenye taifa letu, ni hatari kuliko ugonjwa kama ebola.
Tuwafundishe wananchi wote hivyo.
CCM lazima ioneshe mfano wa kupinga ubaguzi na kutetea Uhuru na haki kama iliyokuwa lengo la kuanzishwa kwa TANU na hatimaye CCM yenyewe.
 
Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Simon Odunga amekosoa kitendo shughuli ya kumbukumbu ya kifo cha Hayati JPM Serikali kutuma mwakilishi kwenye tukio hilo.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Waziri Bashungwa Mkuu huyo wa wilaya mstaafu amesema nanukuu

"Suala la JPM halikuwa na hadhi ya kutuma mwakilishi Tena Waziri Hilo HAPANA. Palitakiwa aidha Rais mwenyewe, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar au Makamu wake, Waziri Mkuu au Rais Mstaafu tofauti na hapo suala hili halijapewa portfolio inayokubalika na nasema waziwazi mwambieni Mheshimiwa Rais hajatutendea Haki na ametuudhi Sana Wana CCM na asifikiri maridhiano yake yanatuhusu hayo ni yake na tutabaki kuwa mahafidhina"

Mwisho wa kunukuu.
Mnajisumbua bure. Mhubiri 9:5
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Mhubiri 9:6
Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
 
Back
Top Bottom