Socrate2024
Member
- Sep 10, 2024
- 35
- 53
Exactly, naona huyo Mh. ana changamoto zake, haiwezekani kila Kiongozi anakosana nae.Huyo rc naye inaonekana anachangamoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly, naona huyo Mh. ana changamoto zake, haiwezekani kila Kiongozi anakosana nae.Huyo rc naye inaonekana anachangamoto
Mkuu wa wilaya au wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa eneo lake ana mamlaka kikatiba ya kumhifadhi mtu yeyote isipokuwa mteule wa Rais tu kwa masaa 44Hahahaha unamuweka lockup kwa Sheria ipo?4 4
Kwahiyo ukimdharau RC au DC basi wanabaki kisheria yakukuweka lockup?
Zipo taratibu za kumuadhibu mtumishi mtovu wa nidhamu, hizo ndio taratibu?
Mkuu wa wilaya au wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa eneo lake ana mamlaka kikatiba ya kumhifadhi mtu yeyote isipokuwa mteule wa Rais tu kwa masaa 44
hivi sifa za ukuu wa mkoa na wilaya ni zipi
Huu ni ujinga na ulimbukeni wa madarakaMkuu wa Wilaya ya Nzega Naitwapwaki Tukai ameliagiza Jeshi la polisi kumkamata na kumuweka ndani Abraham Lwakajunguti ambaye ni mkuu wa chuo cha mmDadini Lusu kilichopo wilayani Nzega kwa madai ya utovu wa nidhamu akishindwa kutoa majibu mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakati walipokua kwenye mkutano wa hadhara alipotakiwa kutoa maelezo juu ya kikundi cha watu wanaoingia kuchimba madini ya dhahabu kwenye eneo la chuo hicho bila kuwa na leseni halali.
Kufuatia hali hiyo mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Paul Chacha akaagiza mkuu huyo wa chuo aondolewe kwenye nafasi ya ukuu wa chuo hicho cha madini kutokana na utovu huo wa nidhamu.
View attachment 3242769
Hivi hizi nafasi watu wanazipataje?Mkuu wa Wilaya ya Nzega Naitwapwaki Tukai ameliagiza Jeshi la polisi kumkamata na kumuweka ndani Abraham Lwakajunguti ambaye ni mkuu wa chuo cha mmDadini Lusu kilichopo wilayani Nzega kwa madai ya utovu wa nidhamu akishindwa kutoa majibu mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora wakati walipokua kwenye mkutano wa hadhara alipotakiwa kutoa maelezo juu ya kikundi cha watu wanaoingia kuchimba madini ya dhahabu kwenye eneo la chuo hicho bila kuwa na leseni halali.
Kufuatia hali hiyo mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe Paul Chacha akaagiza mkuu huyo wa chuo aondolewe kwenye nafasi ya ukuu wa chuo hicho cha madini kutokana na utovu huo wa nidhamu.
View attachment 3242769
Hawa huwa ni vimemo tu, yani unalazimisha heshima ambayo hustahili ,upumbavu mtupuHivi hawa wataalamu wa madini wanaokotwa majalalani au mkuu wa Mkoa au Wilaya anaweza kuwa MTU yeyote
Ujinga tu ,hii sheria inatumika vibaya , kama kiongozi unatakiwa sikiliza hoja , wenda mkuu wa chuo alikua na hoja za maana ,sasa unamkatisha mtu ajifika mpaka mwisho hii maana yake ni nini? na hapa zarau zipo wapi.Mkuu wa wilaya au wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa eneo lake ana mamlaka kikatiba ya kumhifadhi mtu yeyote isipokuwa mteule wa Rais tu kwa masaa 44
Kuna shida kubwa na RC Chacha, either ni psychopath au anaumwa asperger's sydrome. Anahitaji kuonana na madaktari wa magonjwa ya akiliHuyu mkuu wa mkoa atakua na shida, juzi kagombana na mtu wa GPSA leo tena mkuu wa shule. Ina maana wa kudharauliwa amekua yeye tu?