DC Nzega aagiza kukamatwa kwa mkuu wa chuo cha madini kwa kumdharau RC Tabora

DC Nzega aagiza kukamatwa kwa mkuu wa chuo cha madini kwa kumdharau RC Tabora

# Ajira na teuzi ni sawa na koti la kuazimwa;
# Jijenge kwa nguvu na akili zako ili unachomiliki kiwe chako na familia;
# Mlioko ktk utumishi jifunzeni namna ya kutoa majibu yadiyochefua kwa wakuu wenu;
# Mamlaka zingine zifuatilie kuna conflict of interest hapo
 
Ni wakati wao na wao kudharirika ukienda kwenye maofisi yao hao wanakuona kama mbwa
Hata siku moja, mkuu wa wilaya kutumia madaraka vibaya hakuwezi kuwa dawa ya kutowajibika wanapokuwa ofisini. Kufukuza kazi mtu yoyote kuna taratibu zake, kwa nini wasifuate? Kwa nini wanapenda sana kutoa amri ya kuweka watu rumande? Huku ni kutumia madaraka vibaya na ndiyo maana hawa wakuu wa wilaya na mikoa wanatakiwa kuondolewa wote.
 
Hata siku moja, mkuu wa wilaya kutumia madaraka vibaya hakuwezi kuwa dawa ya kutowajibika wanapokuwa ofisini. Kufukuza kazi mtu yoyote kuna taratibu zake, kwa nini wasifuate? Kwa nini wanapenda sana kutoa amri ya kuweka watu rumande? Huku ni kutumia madaraka vibaya na ndiyo maana hawa wakuu wa wilaya na mikoa wanatakiwa kuondolewa wote.
Kwahiyo wanapotunyanyasa na kutuona mbwa hapo wametumia vizuri madaraka? Kama mbwai mbwai tu
 
Kwahiyo wanapotunyanyasa na kutuona mbwa hapo wametumia vizuri madaraka? Kama mbwai mbwai tu
Hawajatumia vizuri. Lakini njia nzuri ni kupignia kila mtu afuate sheria. Ukiruhusu sehemu moja, kesho litamtokea mtu mwingine. Kama unafurahia hili jambo unaweza kulaumu polisi wanaotumia madaraka vibaya na kuweka watu rumande bila makosa?
 
Mkuu wa chuo Naye anaruhusu vipi eneo la chuo waanze kuchimba madini? Ukiruhusu kuwa machimbo hapo patakuwa na chuo ?.akamatwe haraka sana na kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi.Anaihujumu Nchi Kwa kuanzisha migodi ya uchimbaji madini kwenye eneo la umma Kwa manufaa yake binafsi na familia yake
 
Huyu mkuu wa mkoa ni aina ya viongozi wanaopenda sana sifa na kuonekana wanafanya kazi sana na wanataka sana watokee kwenye vyombo vya habari. Wanasahau kuwa ukifanya kazi vizuri huna hata haja ya kuita media bali wananachi wenyewe unaowahudumia bila hata ya kuombwa watatangaza utendaji wako mzuri na taarifa zitafika kila kona ya nchi hii.
Nasikia Mwanri ni mchungaji siku hizi 😀😀
 
RC ni choko haijui Serikali, jibu la Mkuu wa Chuo ilitosha kuamsha akili zake zote, ukiona Mtumishi anasema mamlaka ya. Juu tumia akili
 
Hata siku moja, mkuu wa wilaya kutumia madaraka vibaya hakuwezi kuwa dawa ya kutowajibika wanapokuwa ofisini. Kufukuza kazi mtu yoyote kuna taratibu zake, kwa nini wasifuate? Kwa nini wanapenda sana kutoa amri ya kuweka watu rumande? Huku ni kutumia madaraka vibaya na ndiyo maana hawa wakuu wa wilaya na mikoa wanatakiwa kuondolewa wote.
Miuu wa mkoa ni amiri jeshi wa mkoa .wanajeshi wote mkoani humpihia saluti

Halafu kijitu kidogo sana mkoani kikuu cha chuo cha Veta cha madini kinamwambia who are you?

Hicho cheo chake kinajiona na chenyewe kijitu kikubwa kuliko mkuu wa mkoa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mkoani mwake .
 
Ulitaka akubali kwa kitu ambacho hana huakika nacho? Mfano apo ulipo ukaulizwa jirani yako kauliwa na jirani yake na hujui ,je utatoa jibu gani.

Uyo mkuu wa mkoa alishindwa nini kumuita ofisin kwake kupata majibu sahii kabla kwenda kwenye huo mkutano.
Na ni Mwenyekiti wa kamati ya ulizi, alitakiwa kutoa Ulinzi ili wavamizi wasivamie huko
 
Hawajatumia vizuri. Lakini njia nzuri ni kupignia kila mtu afuate sheria. Ukiruhusu sehemu moja, kesho litamtokea mtu mwingine. Kama unafurahia hili jambo unaweza kulaumu polisi wanaotumia madaraka vibaya na kuweka watu rumande bila makosa?
Vema mkuu lakini ofisi nyingi za serikali watu wamekua wahanga vibaya mno mno tena wa hawa watu waliopewa madaraka watuongoze unajua inauma kiasi gani unaenda kwenye taasisi ya umma unajibiwa au kutendewa kama mbwa?
 
Na ni Mwenyekiti wa kamati ya ulizi, alitakiwa kutoa Ulinzi ili wavamizi wasivamie huko
Mkuu tuna viongozi wa ajabu sana, hizi nafasi za R.C ,DC ,Zinatakiwa kufutwa mara moja, zinaongeza matumizi ya serikali bila sababu, mbaya zaidi wanalipwa mishaara kwa kodi za wananchi ila wao wapo kufanya kazi za chama.
 
Vema mkuu lakini ofisi nyingi za serikali watu wamekua wahanga vibaya mno mno tena wa hawa watu waliopewa madaraka watuongoze unajua inauma kiasi gani unaenda kwenye taasisi ya umma unajibiwa au kutendewa kama mbwa?
Ni kweli. Njia sahihi ni kuanza na hao waliowaweka hapo na kushindwa kuwasimamia.
 
Standing order za utumishi zinasemaje kwa mtumishi mtovu wa nidhamu.Hii nchi kwanini viongozi wanapenda kuabuse power.Je muwakilishi wa rais yupo juu ya sheria???

Kukamata watu na kuwaweka lockup ndio mnafundisha nini UMMA wa watanzania kuhusu misingi ya haki na utawala bora.

Hivi ni lini tutaacha hizi comedy na kufocus in productive issues kwa maendeleo ya kweli.

Cheap popularity na makamera haziwafanyi muwe viongozi bora.Pia viongozi wajue kuwa uongozi ni dhamana🤝
 
Back
Top Bottom