Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Hajiamini, anadhani huo ukuu wa mkoa ndio kila kitu.Kwa hiyo kudhalilisha watu hivyo anahisi ndio anaonekana kufanya kazi. Tatizo wajinga wajinga hawa kupewa madaraka bila kujitambua.Huyu mkuu wa mkoa atakua na shida, juzi kagombana na mtu wa GPSA leo tena mkuu wa shule. Ina maana wa kudharauliwa amekua yeye tu?