cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imani yako imekuponya, nenda zako kwa amani[emoji1787]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imani yako imekuponya, nenda zako kwa amani[emoji1787]
Wewe na ukoo wako ni masikini wakutupwa!Wewe mbwa ukoo wangu haujawa maskini na ungekuwa tajiri hizo buku saba ungekuwa unazikataa
Anayeutaja sana umasikin ndiyo yeye kinara wa umasikinWewe na ukoo wako ni masikini wakutupwa!
Hii lugha tu unayotumia hapa inaonesha ni jinsi gani ulivyo na stress za umasikini.
Sasa kuondoka kwa Sabaya hakuwezi kubadirisha chochote kwenye ukoo wako. Mtabaki masikini daima
Sasa akalifunge mbwa yule, Masai gani ana akili ya kijinga vile ?Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mh Ole Sabaya amesema wanaccm wa Arusha wana kandarasi za majungu na ikitokea siku wakamshangilia au kumpongeza atajua anguko lake la kisiasa liko karibu.
Sabaya amesema Greenhouse za Mbowe kule Hai zilikuwa zinatiririsha maji yenye kemikali kwenye vyanzo vya maji vinavyotumiwa na wananchi ndio maana DC aliyekuwepo kabla yake alifyeka lile shamba.
Ole Sabaya anasema amepokea hati ya Mahakama ya kulifunga kabisa shamba hilo ili kuwaponya wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Nimeikumbuka hii comment!Sasa akalifunge mbwa yule, Masai gani ana akili ya kijinga vile ?
Bado ni mapema sana kutabiri mshindi!Na sasa anakula jeuri yake...
Upeleke chai sasa pale kisongo....Huyu jamaa namkubali sana kwa kumkomesha Mbowe na genge lake.
Nyakati kama hizi wapambe hutawaona!Upeleke chai sasa pale kisongo....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiboko ya kina mmawia
Nenda ukaungane nae kule jela.Huyu jamaa namkubali sana kwa kumkomesha Mbowe na genge lake.
Nipo hapa Arusha Airport mwambie anipitie nimsindikizeUpeleke chai sasa pale kisongo....
Mida ya msosi karibia, mwamba apelelekewe chips....Nipo hapa Arusha Airport mwambie anipitie nimsindikize
Jana wamempaka mafuta aiseMida ya msosi karibia, mwamba apelelekewe chips....
Manka jela hawali chips!Mida ya msosi karibia, mwamba apelelekewe chips....
😂😂😂😂😂😂 Wana wanamkaribisha mgeniJana wamempaka mafuta aise
Wahuni sio watu wazur kabsaa
Tena walilazimisha akaoge kwanzaView attachment 1809060
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa namkubali sana kwa kumkomesha Mbowe na genge lake.