dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Waziri nae kajichanganya eti kutuma wataalmu wakachunguze ,wakachunguze ujinga gani uzushi hv inataka akil gani.Kama maelezo haya ya Simalenga ni ya kweli inamaana msichana hakupigwa na wala hana jeraha. Sasa ile pamba usoni kwa yule msichana ni ya kazi gani?
Kwann huyu msichana pia asifunguliwe kesi ya uzushi na kumchafua DC?
Hawa watoto wapigwe tuMwenyewe Simalenga amekiri kuwa alimwita akampa warning ila hakumpiga
Yule mwanaharakati kule twitter sijui ameona hii 😃Tayari ukweli ushajulikana. Ni maigizo tu na kuharibiana mambo...Hawa ndo wale anakusingizia umembaka unapigwa mvua 30 hivi hivi unajiona wakati uko innocent [emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2438483
mtu kutokuwa mwanafunzi anapoteza haki zake?Siamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa.
Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini kofi likajeruhi kama panga?...
Samalenga yuko potential kiasi gani hadi asakamwe kiasi hicho?Siamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa.
Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini kofi likajeruhi kama panga?
Avue bandage tulione bandage.1. Una akili finyu sana. Kwanini? kwahiyo na Malimu Mkuu/afisa elimu kata/wilaya/mkoa wamebariki mhuni wa 6x6 (kama ulivyomnadi) kuchafua hiyo shule aliyoitaja kuwa anasoma hapo?
2. bandage huwa sinafungwa nanmna gani kitaalamu?
3. Nikikupiga kofi kwenye jicho haiwezekani? Inategemea umempiga vipi
Mmh! Jamani! Mkuu wa wilaya Simalenga kwa umri wake ni sawa na baba wa yule msichana . Kumshika mkono kuna shida gani?Hivi kwa nini alimshika mkono mtoto wa kike tena kigori, mamlaka hiyo alipata wapi?
Huyu wala siyo mwanafunzi. Ni mhuni tu.
Nani kakwambia hiyo Ni bavicha na sio uvccm??!Bavicha mnateteaga chochote
Kuna uhuni mwingi ktk hili sakataKwenye maelezo yake anajichanganya hata mwenyewe tu. Eti nilivyopigwa nikaenda nyumbani,sikuwakuta wazazi,nikalala. Utalala vipi badala ya kwenda hosp?. Halafu ukicheck lipamba limejaa uso mzima. Yaani hapo kuna namna
Issue siyo Simalenga, issue ni nafasi yake. Wanamtoaje ili ipatikane? Ndiyo unaona futuhi zinatengenezwa hizi.Samalenga yuko potential kiasi gani hadi asakamwe kiasi hicho?
Bandage ya nn kwenye uvimbe? Bandage huwekwa kwenye open wound.Kwamba ikiondole2a bandeji na ikutwe ana uvimbe si jeraha inakuwa hajaigwa
Kwahiyo kama amepigwa lkn kwa ujinga wake au waliomhudumia wakawela bandeji isivyo, kupigwa kwake kuna kuwa batiliBandage ya nn kwenye uvimbe? Bandage huwekwa kwenye open wound.
Kama kidonda hakitwkutwa kwenye bandage itakuwa ni uhuni tu
Kofi au ngumi hazichubui ngozi ama kuikata ngozi kiasi cha kuhitaji bandage. Bandage na kupigwa kofi haviendaniKwa hiyo bwashee sisi tuliosoma jalalani university hatuna hayo maujanja ya kujua huyo mwanafunzi kapigwa kofi au ngumi?
Siamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa.
Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini kofi likajeruhi kama panga??
Nimeangalia mara 5 clip ya "anayedaiwa kuwa mwanafunzi aliyejeruhiwa". Kwa kuwa nilisomea Cuba nimebaini yafuatayo yanaweza kuwa kweli;-
(a) Anayedaiwa kuwa mwanafunzi wala siyo mwanafunzi. Ni mhuni fulani tu toka mtaani. Namna anavyoongea hana soni.
(b) Anayedaiwa kujeruhiwa hana jeraha ndiyo maana hasikii maumivu yoyote. Ukiangalia ukubwa wa pamba iliyobandikwa usoni unaweza kukadiria ukubwa wa jeraha na wingi wa maumivu. Lakini vyote hivyo havionekani kwa huyo "mwanafunzi". Kwahiyo huyo msichana kwa hisia zangu hana jeraha. Kama unabisha mwambieni aondoe hiyo pamba usoni.
(c) Kuna magazeti 4 yameandika habari hii kinazi sana kurasa za mbele. Hii inaashiria magazeti haya yamenunulowa na anayemlenga Simalenga.
Chochote kinawezekana awamu hii. Uhuni wa kusagiana kunguni na kupakaziana ili watu wapoteze nafasi zao unarudi kwa kasi Sana (kama enzi za mzee Kikwete).
DC Simalenga kwa 80%analengwa na wabaya wake. Kama mnabisha pamba itolewe usoni kwa huyo mtoto ili tuone jereha lake.
Maswali ya kitoto hayaNaomba kuuliza swali zamani kabla ya kuja shule za kata watu walikuwa wanafaulu wawili, watatu hadi watano shule nzima kwenda sekondary.
Je wale waliokuwa wanafeli ni kweli walikuwa wanafeli au walikuwa wanafelishwa makusudi kwa sababu shule hakuna?
Je hawa wanaofaulu kwa wingi sasa hivi wanapelekwa tu kwa sababu shule nyingi? Au ufaulu umeongezeka?
[emoji849]