DC Simalenga analengwa na nani? Tuhuma dhidi yake za kumpiga mwanafunzi zinatia mashaka sana

DC Simalenga analengwa na nani? Tuhuma dhidi yake za kumpiga mwanafunzi zinatia mashaka sana

Avue bandage tulione bandage.

Mmh! Jamani! Mkuu wa wilaya Simalenga kwa umri wake ni sawa na baba wa yule msichana . Kumshika mkono kuna shida gani?

Anyway. Uzi wangu unataka ushahidi kama kweli huyo binti kajeruhiwa hiyo pamba iliyobandikwa kwa supper glue iondolewe.
Hoja ya bandeji imeisha,eti wamehamia kwenye hoja ya kumshika mkono[emoji23]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Siamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa.

Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini kofi likajeruhi kama panga??

Nimeangalia mara 5 clip ya "anayedaiwa kuwa mwanafunzi aliyejeruhiwa". Kwa kuwa nilisomea Cuba nimebaini yafuatayo yanaweza kuwa kweli;-

(a) Anayedaiwa kuwa mwanafunzi wala siyo mwanafunzi. Ni mhuni fulani tu toka mtaani. Namna anavyoongea hana soni.

(b) Anayedaiwa kujeruhiwa hana jeraha ndiyo maana hasikii maumivu yoyote. Ukiangalia ukubwa wa pamba iliyobandikwa usoni unaweza kukadiria ukubwa wa jeraha na wingi wa maumivu. Lakini vyote hivyo havionekani kwa huyo "mwanafunzi". Kwahiyo huyo msichana kwa hisia zangu hana jeraha. Kama unabisha mwambieni aondoe hiyo pamba usoni.

(c) Kuna magazeti 4 yameandika habari hii kinazi sana kurasa za mbele. Hii inaashiria magazeti haya yamenunulowa na anayemlenga Simalenga.

Chochote kinawezekana awamu hii. Uhuni wa kusagiana kunguni na kupakaziana ili watu wapoteze nafasi zao unarudi kwa kasi Sana (kama enzi za mzee Kikwete).

DC Simalenga kwa 80%analengwa na wabaya wake. Kama mnabisha pamba itolewe usoni kwa huyo mtoto ili tuone jereha lake.

View attachment 2438821
Bint kapigwa pole yake na kawekewa pamba kavu isiyo na dawa halafu uso haujavimba, na watu wanaamini kapigwa, Mimi siamini kabisa
 
Kwani CCM wameanza leo kuwapiga Watanzania? Ubabe wanao muda mrefu tu kuanzia enzi za Nyerere.



 
Bint kapigwa pole yake na kawekewa pamba kavu isiyo na dawa halafu uso haujavimba, na watu wanaamini kapigwa, Mimi siamini kabisa
Mm hata unishikie bunduki siwezi kuamini wala kukubali kuwa kapigwa.
 
Inamaanisha walikuwa na mahusiano pengine.
Kwani huyo DC si alikuwa muigizaji bongo movie?

Tabia ni kama ngozi haibadiliki.
Kwa hili sasa naanza kufunguka akili huenda alikuwa anacheza "IGIZO" jipya... ikatumika nguvu kupita kiasi.....
 
Kwa hili sasa naanza kufunguka akili huenda alikuwa anacheza "IGIZO" jipya... ikatumika nguvu kupita kiasi.....
Bongo movie msichana under ground hupewi scene kuigiza bila kupigwa mbupu...

Huo ndy ukwl.

Tabia haibadiliki ni kama ngozi.
 
Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba

Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza

Hakika maji hujitenga na mafuta

Mwalimu wa tuisheni.
 
Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba

Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza

Hakika maji hujitenga na mafuta

Mwalimu wa tuisheni.
Akibaki baada ya panga la mama niite pusi nimekaa paleee.
 
Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba

Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza

Hakika maji hujitenga na mafuta

Mwalimu wa tuisheni.
...Wewe ni CHAWA[emoji57][emoji57] Au ni Simalenge Mwenyewe !!
 
Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba

Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza

Hakika maji hujitenga na mafuta

Mwalimu wa tuisheni.
Shupavu kupiga watoto wa kike?

Uchawa haupendezi ukiwa over 50.
 
Back
Top Bottom