DC Simalenga analengwa na nani? Tuhuma dhidi yake za kumpiga mwanafunzi zinatia mashaka sana

ACHUNGUZWE KAMA ANAKUNYWA KWANZA WAJUE WANAMUANZIA WAPI PENGINE ALIKUWA KAPATA MAYEMJIIII KICHWA IKAMTUMA NGUMI

2.KAULIZE NANI AMEMSADIA Y7E ADA MAMBO YA HOSPTAL...HUYU AMECHELEWA
KULIKUWA NA MMOJA TARIME
ANAJIITA MUNGU WA TARIME RAISI WA TARIME WEEEEEEEWEEEEEEE HATAREEEEEEEE AKIKABAAAR ANAWEKA BASTOLA ANAGIZA MHUDUMU MWITE YULE MDADA AJE HAPA....AKIKATAA ANAMWAMBUA KAMWAABIE MM DC NAMWITA......
UJINGA AWATAKI WANAUME TULIKA NAE BAR ...WAKAMREKODI AKAJAA .....MZEE AKUCHUKUA SIKU SABA KUMTYMBUA ENZI ZILE ANA KAJINA KA .....LUO.


KUPTIWA KAWAIDA AMEKOSEA AOMBE RADHI SASA MPAKA MH GWAJIMA ANAKIRI ALIEWATUMA WAMEJIBU N KWELI SISI NANI TUMKANE WAZIRI WA JINSIA..............
 
We Simalenga acha kupanick!
 
Umeishawahi kuhudhuria boxing match yoyote, bwashee? Hujawahi kuona bondia anapigwa upper cut uso wote unachanika?
Kwenye boxing hawapigani makofi, wanapigana ngumi. Ngumi Ina uwezo wa kusababisha mchubuko lkn siyo kofi.

Huyu kahaba kasema amepigwa Kofi na DC lkn kavaa pamba uso mzima
 
Tumia akili wewe mbwiga!! Kicheche chenyewe ndo kimesema ni mwanafunzi. Mpaka hapo unataka tujadili majungu hayo?
 
Tumia akili wewe mbwiga!! Kicheche chenyewe ndo kimesema ni mwanafunzi. Mpaka hapo unataka tujadili majungu hayo?
Unataka tuamini bila kuhoji maneno ya kicheche? Acha kuwa mmezaji wa bila kutafuna. Utameza na visivyomezeka.
 
Nisome vema kwenye nyuzi zangu zote nilizowahi kuandika ndiyo utajua kuwa mm siyo Simalenga
Vizuri sana, suala hili limeibua sintofahamu katika jamii.
Mkuu wa Wilaya amnaye ni mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama na muwakilishi wa Dola wilayani hawezi kuvumiliwa akifanya kitendo cha kishamba kimadaraka kama huyu Simalenga.

Badala ya kumcastigate aliyetoa tuhuma, inabidi kiusahihi kabisa uchunguzi wa tukio zima uache uendelee na kukamilika.
 
Mbona tunatawaliwa na viongozi waajabu siku hizi.
 
Kwenye maelezo yake anajichanganya hata mwenyewe tu. Eti nilivyopigwa nikaenda nyumbani,sikuwakuta wazazi,nikalala. Utalala vipi badala ya kwenda hosp?. Halafu ukicheck lipamba limejaa uso mzima. Yaani hapo kuna namna
Mbona mnatoa hoja kama watoto wadogo?
 
Hakna mwanafunzi pale yule ni malaya tu wa chunya uko nawapat vzr san ,watot walivyo lelewa kule
 
Tupe hoja yako ewe "kama mtu.mzima"
Unasemaje si mwanafunzi na imethibitika anasoma na alikuwa pale kishule. Utoto wa kwanza. Huyo mwenzako anasema kwa nini hakwenda hospitali akaenda kulala, huo ni utoto wa pili. unafikiri hospitali wanalipa maneno? Hata kama mmetumwa kutetea basi muongee kama watu wazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…