Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hoja ya bandeji imeisha,eti wamehamia kwenye hoja ya kumshika mkono[emoji23]Avue bandage tulione bandage.
Mmh! Jamani! Mkuu wa wilaya Simalenga kwa umri wake ni sawa na baba wa yule msichana . Kumshika mkono kuna shida gani?
Anyway. Uzi wangu unataka ushahidi kama kweli huyo binti kajeruhiwa hiyo pamba iliyobandikwa kwa supper glue iondolewe.
DC kasema yeye alimshika tu alitaka kumpiga lakini hakumpiga. Dc wa hovyo kabisa huyuTunachoomba haki itendeke dhidi ya DC
Mkuu uhovyo wake nn? Kumshika mtu ni dhambi?DC kasema yeye alimshika tu alitaka kumpiga lakini hakumpiga. Dc wa hovyo kabisa huyu
Unamshika mtu hadi anajeruhika, wee unaona poa?Mkuu uhovyo wake nn? Kumshika mtu ni dhambi?
Huyu mhuni wa Mafiati hajashikwa wala hajajeruhiwa. Umeona hiyo picha wakati akiwa polisi kuhojiwa?Unamshika mtu hadi anajeruhika, wee unaona poa?
Bint kapigwa pole yake na kawekewa pamba kavu isiyo na dawa halafu uso haujavimba, na watu wanaamini kapigwa, Mimi siamini kabisaSiamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa.
Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini kofi likajeruhi kama panga??
Nimeangalia mara 5 clip ya "anayedaiwa kuwa mwanafunzi aliyejeruhiwa". Kwa kuwa nilisomea Cuba nimebaini yafuatayo yanaweza kuwa kweli;-
(a) Anayedaiwa kuwa mwanafunzi wala siyo mwanafunzi. Ni mhuni fulani tu toka mtaani. Namna anavyoongea hana soni.
(b) Anayedaiwa kujeruhiwa hana jeraha ndiyo maana hasikii maumivu yoyote. Ukiangalia ukubwa wa pamba iliyobandikwa usoni unaweza kukadiria ukubwa wa jeraha na wingi wa maumivu. Lakini vyote hivyo havionekani kwa huyo "mwanafunzi". Kwahiyo huyo msichana kwa hisia zangu hana jeraha. Kama unabisha mwambieni aondoe hiyo pamba usoni.
(c) Kuna magazeti 4 yameandika habari hii kinazi sana kurasa za mbele. Hii inaashiria magazeti haya yamenunulowa na anayemlenga Simalenga.
Chochote kinawezekana awamu hii. Uhuni wa kusagiana kunguni na kupakaziana ili watu wapoteze nafasi zao unarudi kwa kasi Sana (kama enzi za mzee Kikwete).
DC Simalenga kwa 80%analengwa na wabaya wake. Kama mnabisha pamba itolewe usoni kwa huyo mtoto ili tuone jereha lake.
View attachment 2438821
Mm hata unishikie bunduki siwezi kuamini wala kukubali kuwa kapigwa.Bint kapigwa pole yake na kawekewa pamba kavu isiyo na dawa halafu uso haujavimba, na watu wanaamini kapigwa, Mimi siamini kabisa
Hakuna hoja niliyotoa mimi hapo. Hizo hoja nimenukuu za huyo mliempanga. Labda uniambie mbona mnafuata vipengele vidogo vidogoMbona mnatoa hoja kama watoto wadogo?
Amezikana tuhuma zote mkuu. Mm jnimeyoka kuhojiana naye kabla ya kuandika mada hi
Simalenga , Ulishakiri Ulitaka kumpiga "kicheche" ila uliombwa Msamaha....,Nakubaliana na point zote za mtoa mada, mara ya kwanza natizama hii Video, nikasema huyu Binti ni Kicheche flani hivi!
Kwa hili sasa naanza kufunguka akili huenda alikuwa anacheza "IGIZO" jipya... ikatumika nguvu kupita kiasi.....Inamaanisha walikuwa na mahusiano pengine.
Kwani huyo DC si alikuwa muigizaji bongo movie?
Tabia ni kama ngozi haibadiliki.
Bongo movie msichana under ground hupewi scene kuigiza bila kupigwa mbupu...Kwa hili sasa naanza kufunguka akili huenda alikuwa anacheza "IGIZO" jipya... ikatumika nguvu kupita kiasi.....
Akibaki baada ya panga la mama niite pusi nimekaa paleee.Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba
Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza
Hakika maji hujitenga na mafuta
Mwalimu wa tuisheni.
...Wewe ni CHAWA[emoji57][emoji57] Au ni Simalenge Mwenyewe !!Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba
Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza
Hakika maji hujitenga na mafuta
Mwalimu wa tuisheni.
Shupavu kupiga watoto wa kike?Mbinu chafu za baadhi ya watu wanaopinga kazi kubwa inayofanywa na Mkuu wa wilaya ya songwe hatimaye zimegonga mwamba
Kelele za kutaka kiongozi shupavu kutolewa kwenye majukumu zimenyamaza
Hakika maji hujitenga na mafuta
Mwalimu wa tuisheni.