Kwenye utendaji chini kuna mengi wakuu kule chakechake iliibuka ishu ya popo bawa ,wananchi wakawa wanalala nje hospital zikathibitisha watu wameingiliwa ,alichofanya dc aliita waganga wote na alipeleleza wanaodhaniwa wachawi akawaita akasema kwenye kikao kuanzia kesho akilawitiwa mtu mmoja waano natupa jela ,kesho wakalawitiwa wawili akatupa 30 ndan siku ya pili wakaja wenzao wailizia kibabe akawahamishia jela akasema hawatoi hadi popobawa akaome walimwita kisiri wakuhakikishia ,akawatoa na stori hiyo ikaishia hapo.
Kigoma kagunga,walimu walikuwa wanaenda asibuhi wanaamka dalini mara pembeni ya ziwa ,wakawa wanaacha kazi au kukimbia,mkuu wa wilaya alihamiashia walimu wapya 7 akaitisha kikao cha vizee vyote akavichinjia ngombe na pombe ,kisha akawaambia mwalimu yeyote akiripoti tukio kama hilo anaomba wasilaumiane kesho mwalimu mmoja akaamka ziwan ,mkuu wa wilaya alienda na kalandinga akachukua walimu wake akakamata na wake za wazee wale 15 straight jela wakaomba kikao akawaambia wasubiri ziishe siku tatu,wazee walienda hivyo hivyo kumuapia mkuu haitatokea ,wakaenda ziIndika nyumba za walimu wenyewe ,hadi leo walimu wanaishi kwa aman tele tena wazee wanawafata kuuliza kuna lolote mmesumbuliwa .
Haya mambo ya kuongoza jamii za wajinga ngumu sana