DC wa Iramba, Joshua Nasari(dogo janja) ahamishiwa Monduli na DC Selemani Mwenda wa Monduli arudishwa tena Iramba

DC wa Iramba, Joshua Nasari(dogo janja) ahamishiwa Monduli na DC Selemani Mwenda wa Monduli arudishwa tena Iramba

Sahihi kabisa, sio kuchukua mkazi wa Kariakoo kwenda kuongoza wafugaji huko Mara.
RC na DC wanatakiwa wawe wenyeji wa hayo maeneo na wachaguliwe na wananchi. Ili wajue matatizo ya watu wake. Kuna mmoja zama za mwalimu alipangiwa Kilimanjaro, katika mazungumzo yake akasema "nimekuja kutawala Wachaga".
 
We dc nasari embu ukae kwa kutulia haya malalamiko yako humu hayatakusaidia kitu tena utapelekea tukutoe hapo ulipo urudi kwako upinzani.

Hujui huyo unayempigia kelele ndio Rais ajaye.

Eboh#$&+*#@ huna adabu we mtoto.
Nani kakwuambia?
 
Mwigulu hahitaji mjanja jimboni kwani anaweza kuwazindua wapiga kura na uboya wake
Jimboni kwake hataki hata chuo cha VETA, anawaogopa wakufunzi na wanafunzi kutoka nje ya wilaya. Aliwahi kupinga kujengwa kwa Campus ya chuo cha IFM Iramba. Chuo kikahamishiwa Simiyu.
 
Mwigulu ndo Boss wa Samia. Samia pale kivuli tu, ndo maana anatukana wananchi anavyotaka hadi wabunge wenzake na hamna kitu anaweza kumfanya
 
U
Mwigulu ndo Boss wa Samia. Samia pale kivuli tu, ndo maana anatukana wananchi anavyotaka hadi wabunge wenzake na hamna kitu anaweza kumfanya
Kisha vimba sana unaweza kuondolewa kwa njia ambazo kila mtu atabaki anajiuliza umeondokaje na asipate majibu. Huwezi kumvimbia aliyekuzidi mamlaka au umfanye mwenye mamlaka akuogope hilo haliwezi kutokea kamwe
 
Habari ndiyo hii wadau, Iramba hakuna maji salama, umeme hakuna vijiji vingi, barabara ni balaa, umaskini unatisha, Mbolea ya Ruzuku jimboni kwake ni hovyo haina viwango na mwaku huu Wakulima huko wanahofiwa kuvuna chini ya kiwango, mambo ni Mengi.

Utafanyaje kazi na DC aliyekuwa Mpinzani zamani? Tena ukijitutumua ni mzalendo na mpenda maendeleo!! Sasa kaja sio sebuleni bali chumbani kwako.

Rais Samia amemuondoa Joshua Nasari kutoka Iramba na kumpeleka Monduli Umasaini kimyakimya. DC wa zamani Iramba Selemani Mwenda naye aondolewa Monduli na kurudishwa tena Iramba.

Mkiambiwa Mwigulu ni mmoja wa Washauri wa Rais mtabisha?
So nasari kapelekwa kwao monduli,mwigulu ameogopa nasari atamfunika😅halafu ni hela za walipa Kodi zinachezewa,juzi wametoka kilipwa kuhamia iramba, kesho watalipwa kwenda monduli,that's double payments,halafu mnasema nchi Haina fedha?bladfaken 🤔
 
RC na DC wanatakiwa wawe wenyeji wa hayo maeneo na wachaguliwe na wananchi. Ili wajue matatizo ya watu wake. Kuna mmoja zama za mwalimu alipangiwa Kilimanjaro, katika mazungumzo yake akasema "nimekuja kutawala Wachaga".
Kiruuuuu
 
Habari ndiyo hii wadau, Iramba hakuna maji salama, umeme hakuna vijiji vingi, barabara ni balaa, umaskini unatisha, Mbolea ya Ruzuku jimboni kwake ni hovyo haina viwango na mwaku huu Wakulima huko wanahofiwa kuvuna chini ya kiwango, mambo ni Mengi.

Utafanyaje kazi na DC aliyekuwa Mpinzani zamani? Tena ukijitutumua ni mzalendo na mpenda maendeleo!! Sasa kaja sio sebuleni bali chumbani kwako.

Rais Samia amemuondoa Joshua Nasari kutoka Iramba na kumpeleka Monduli Umasaini kimyakimya. DC wa zamani Iramba Selemani Mwenda naye aondolewa Monduli na kurudishwa tena Iramba.

Mkiambiwa Mwigulu ni mmoja wa Washauri wa Rais mtabisha?
Miaka yoote hiyo Mwigulu kazi yake ni nini?
 
Kwa hakika sioni umuhimu wa hivi vyeo zaidi ya kupiga siasa tu. Na kama majukumu yao ni muhimu sana yanawezwa kufanya na DAS au RAS. Hakuna haja ya kuwa na vyeo vya aina zote hizi mbili kwa pamoja.
Vyeo vya kuhonga waiosaidia kuiba kura
 
Habari ndiyo hii wadau, Iramba hakuna maji salama, umeme hakuna vijiji vingi, barabara ni balaa, umaskini unatisha, Mbolea ya Ruzuku jimboni kwake ni hovyo haina viwango na mwaku huu Wakulima huko wanahofiwa kuvuna chini ya kiwango, mambo ni Mengi.

Utafanyaje kazi na DC aliyekuwa Mpinzani zamani? Tena ukijitutumua ni mzalendo na mpenda maendeleo!! Sasa kaja sio sebuleni bali chumbani kwako.

Rais Samia amemuondoa Joshua Nasari kutoka Iramba na kumpeleka Monduli Umasaini kimyakimya. DC wa zamani Iramba Selemani Mwenda naye aondolewa Monduli na kurudishwa tena Iramba.

Mkiambiwa Mwigulu ni mmoja wa Washauri wa Rais mtabisha?
Mbolea ya ruzuku ya iramba Haina viwango kivipi mkuu!?..
 
So nasari kapelekwa kwao monduli,mwigulu ameogopa nasari atamfunika😅halafu ni hela za walipa Kodi zinachezewa,juzi wametoka kilipwa kuhamia iramba, kesho watalipwa kwenda monduli,that's double payments,halafu mnasema nchi Haina fedha?bladfaken 🤔
Hatari sana
 
Mbolea ya ruzuku ya iramba Haina viwango kivipi mkuu!?..
Kuna mtu yupo huko kaniambia hadi utumie awamu tatu ndipo mazao yapendeze. Pia ni ngumu kuipata, watu huenda Mbulu na Igunga kuisaka. Kwani Wakulima jimboni kwa Waziri wasipate mbolea kwa muda muafaka?
 
Back
Top Bottom