DC wa Kisarawe apunguze show kwenye mitandao ya kijamii afanye kazi

DC wa Kisarawe apunguze show kwenye mitandao ya kijamii afanye kazi

Mambo yake muachieni mwenyewe...

Kuna watu anawalingishia, waliyokua wanasema hawezi...


Cc: mahondaw
 
Sikupendega huyu mrembo kupewa udc,lakini huyu binti anajitahidi banah,wampe ukuu wa mkoa huyu
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
Kama huoni anayoyafanya DC wa kisarawe juu ya wilaya yake na wakazi wake kwa ujumla utakuwa mwanga mkuu
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
kielelezo cha kutofanya kazi ni kupiga picha mitandaoni?
 
Umri wake unamruhusu kufanya afanyavyo, tusimlinganishe na mzee Mkuchika! Hata hivyo kamejitahidi kiasi fulani!
 
Binafsi siyo mwanakijani lakini huyu Dada hana shida,huskii kauli za dhurma sifa ubabe ama lolote la ujivuni,muda mwingi anafanya mambo ya kawaida yanayowagusa wanaomzunguka,
She is humble hana ulimbukeni
 
Tulimumu achana na binti huyu. Huyu ni defacto first lady
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
 
Watu wengine acheni wivu mambo ya picha yanawahusu nini? Jokate aliteuliwa kwakua alionakaza ni mchapa kazi Kama VP kamamwambie aliye mteua kuhusu hili pengine waweza teuliwa wewe
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201

This bitch is done!

You’re wasting your time talking about this “anything goes” bitch!

Kaishiwa pumzi tayari!

Bwe bwe la mwanzo lote lishaisha,back to reality!
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
Unapaswa kujiuliza kiongoz wa nchi km yeye akifanya kitu huita media zimuoneshe pengine hata haifai nkupe mfano mdogo tu. Kumuomba radh/msamah mtyu uwe umemkosea au amekukosea c la kutangaza kwa watu ila ni kuendeleza aman mshikamano na pia yule anae omba msamah katambua yey ni binadam hajakamilka wala haluna kingine. Unapaswa kuangalia nan source. Ukimuangalia DC hana kosa. Yeye ana brand kile anachofanya. Sasaiv ukimsifu rais anakupa cheo. Ukimkosoa unakua adui amesahau nafas aliokua nae.(kiongoz bora ni yule anae kubal kukosolewa kwan yey c mkamilifu, kuna walo soma au wanauelew kuliko yeye. )
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
mimi sioni tatizo mradi anapiga kazi
 
Mkuu kuna watu hawataki kwenda na wakati wa utandawazi wa dunia ya leo na wanapenda wabaki na mambo ya 47, hawa ndio wale mpaka leo wamegoma kutumia email kama njia ya mawasiliano ya kiofisi wao bado wanaandika barua kwa mkono halafu anaomba ruhusa ya week nzimaaa kazini ili apeleke barua yake kwa katibu mkuu Dodoma
Hawa Watu wakiondoka maofsini kidogo itakuwa angalau. Maana wazeee wanazingua sana,
 
Loyola,mzizima, Shaban Robert,st.Antony alumni lazima watamjibia
Huyo ni celebrity tangu hajawa mkuu wa wilaya. Ameishi maisha ya social media miaka kibao. Kumwambia aachane nayo ni kumwambia aishi kinafiki. Isitoshe kwa kiasi kikubwa kampeni yake ya Tokomeza zero Kisarawe imesaidiwa sana na social media. Mtoa mada jipange
 
Kamwambie Trump kwanza atoke kwenye twitter. by the way wakina bashite mbona wanashinda tu mitandaoni kuangalia walichopost wakina idris ili wawaite kituoni.

social media ni privacy za mtu wewe unaumia nini? mteule wake kasema kazi zake haziendi kwa sababu ya kuposit picha kwake?

Wivu mtupu ,Huyu atakua ni Bashite mkuu, anaumia kuona mwenzie anakubalika kwenye mitandao sasa anaona wivu

Bashite anataka yeye ndio awe juu
 
Back
Top Bottom