Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huoni anayoyafanya DC wa kisarawe juu ya wilaya yake na wakazi wake kwa ujumla utakuwa mwanga mkuuNi kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.
Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.
Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.
Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.
Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.
Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.
Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.
View attachment 1277201
kielelezo cha kutofanya kazi ni kupiga picha mitandaoni?Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.
Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.
Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.
Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.
Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.
Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.
Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.
View attachment 1277201
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.
Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.
Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.
Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.
Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.
Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.
Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.
View attachment 1277201
Ukiwa kiongozi ni kipo cha jamii,Punguzeni wivu kwenye maisha binafsi ya mtu, kuna maisha nje ya U DC
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.
Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.
Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.
Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.
Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.
Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.
Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.
View attachment 1277201
Unapaswa kujiuliza kiongoz wa nchi km yeye akifanya kitu huita media zimuoneshe pengine hata haifai nkupe mfano mdogo tu. Kumuomba radh/msamah mtyu uwe umemkosea au amekukosea c la kutangaza kwa watu ila ni kuendeleza aman mshikamano na pia yule anae omba msamah katambua yey ni binadam hajakamilka wala haluna kingine. Unapaswa kuangalia nan source. Ukimuangalia DC hana kosa. Yeye ana brand kile anachofanya. Sasaiv ukimsifu rais anakupa cheo. Ukimkosoa unakua adui amesahau nafas aliokua nae.(kiongoz bora ni yule anae kubal kukosolewa kwan yey c mkamilifu, kuna walo soma au wanauelew kuliko yeye. )Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.
Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.
Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.
Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.
Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.
Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.
Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.
View attachment 1277201
mimi sioni tatizo mradi anapiga kaziNi kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.
Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.
Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.
Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.
Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.
Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.
Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.
View attachment 1277201
Hawa Watu wakiondoka maofsini kidogo itakuwa angalau. Maana wazeee wanazingua sana,Mkuu kuna watu hawataki kwenda na wakati wa utandawazi wa dunia ya leo na wanapenda wabaki na mambo ya 47, hawa ndio wale mpaka leo wamegoma kutumia email kama njia ya mawasiliano ya kiofisi wao bado wanaandika barua kwa mkono halafu anaomba ruhusa ya week nzimaaa kazini ili apeleke barua yake kwa katibu mkuu Dodoma
Huyo ni celebrity tangu hajawa mkuu wa wilaya. Ameishi maisha ya social media miaka kibao. Kumwambia aachane nayo ni kumwambia aishi kinafiki. Isitoshe kwa kiasi kikubwa kampeni yake ya Tokomeza zero Kisarawe imesaidiwa sana na social media. Mtoa mada jipange
Kwa lipi, toa mfanoSikupendega huyu mrembo kupewa udc,lakini huyu binti anajitahidi banah,wampe ukuu wa mkoa huyu
Yeah hasa kwa Tanzania jamii ambayo inashinda instagram ila haitaki kiongozi ashinde huko, tuache Majungu na wivu haisaidii, fanya vilivyo Right usisubiri kuendeshwa na mtuUkiwa kiongozi ni kipo cha jamii,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jokate akipost insta kelele ila Trump anashinda twitter ni fresh tu
Kamwambie Trump kwanza atoke kwenye twitter. by the way wakina bashite mbona wanashinda tu mitandaoni kuangalia walichopost wakina idris ili wawaite kituoni.
social media ni privacy za mtu wewe unaumia nini? mteule wake kasema kazi zake haziendi kwa sababu ya kuposit picha kwake?