DC wa Kisarawe apunguze show kwenye mitandao ya kijamii afanye kazi

DC wa Kisarawe apunguze show kwenye mitandao ya kijamii afanye kazi

Nadhani anatumia social media kupata baadhi ya misaada yake huko wilaya kwako kwa kuhamasisha, sidhani kama kuna ubaya mtu akiwa anatumia positive
 
Mitandao haimzuii kufanya kazi, yaani huyu anafanya kazi ya maana na inaonekana kuliko kazi inayofanywa na Ndugai ambae hajui kujipiga selfie.
 
Si yeye tu katika vyeo ambavyo ni useless katika nchi hii basi ni u DC hauna manufaa yoyote kwa mwananchi,kazi yao kubwa kusaini vyeti vya watoto kuzaliwa na vya ndoa.HOPELESS KABISA.
 
Si yeye tu katika vyeo ambavyo ni useless katika nchi hii basi ni u DC hauna manufaa yoyote kwa mwananchi,kazi yao kubwa kusaini vyeti vya watoto kuzaliwa na vya ndoa.HOPELESS KABISA.
URC, UDC, Uwaziri, ni madaraka ya Usimamizi tu katika eneo lao la Utawala.
Hao wanamuwakilisha Raisi katika Utekelezaji wa Sera za Chama tawala.
Ni vyeo muhimu na vilikuwepo toka enzi za Mkoloni.
 
Andiko kama la wivu tu. Joketi ni moja ya MaDC ambao Wilaya zao zinafanya vizuri mno. Mawaziri kibao tunao kwenye matwetter na wanaperform well.
 
Mwacheni Dada yuko vizuri Kikubwa anapiga Kazi

Ova
 
Yaan siwez sahau asiee hahhhaha kuna ile amebeba watu anawavusha
Kipindi hicho anacheza kikapu pazi mazoezi yao pale tanesco nmemuzia sana Raba
Tulikuwa tunamuita dibo..... Misifa toka kitambo
Alikuwa anasema unapata wapi Raba hizi kali kumbe Kuna mabaharia walikuwa wananletea niwauzie.... Ila kwa kujifanya kjua mambo balaa

Ova
 
Naona unamlaumu halafu bado unafafanua kwanini anafanya hivyo.
 
Anataka nae aanze kutumbia watu hadharani halafu aposti youtube ndio atafurahi.

Nadhani ujumbe wako umeshamfikia ataufikiria ukiona anaendelea basi ameona wazo lako halina maslahi kwa sisi wana Kisarawe.
 
Mleta mada riziki ya mwenzio usiilalie mlango wazi. Kwa maneno mengine wivu wa ukubwani unakusumbua.
 
Kwani ana kazi gani sasa wakati aliyempa cheo ndo anafanya kazi yake uoni kila siku watu wanatukanwa wapumbavu
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201

Mama wa Taifa Namba mbili nchini Malawi.
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
Kwani hafanyi kazï? Acha wivu..
 
Iringa hio mkuu walikua wanakagua miradi wakapita sehemu kuna maji mengi akawabeba waandish mgongoni akawavusha
Ha ha Da hiyo kali sana imepitiliza sijui ilinipitaje hiyo. Shukrani.

Yaani umenivunja ribs ha ha da deeeki ypte kiki tu .
 
Ni kweli huyu DC wa Kisarawe ametokea kwenye urembo na fasheni. Sasa tatizo lililopo amesahau kuwa sasa amechange status.

Yeye kazi anayofanya sasa hivi ni kupiga picha katika mitindo mbalimbali na kupost kwenye mitandao halafu watu waanze kucomment.

Yaani ni DC anayeongoza kwa kupost picha zake akiwa amevalia mavazi mbalimbali akijifanya wakati mwingine yuko kwenye shughuli fulani anakwenda kufanya jambo fulani la kikazi.

Mimi naona hii haitamsaidia sana labda analewa comments za watu kumsifia labda kwa uzuri wake na mwonekano wake ndiyo maana kila wakati anahangaika na picha lakini sio sehemu ya kazi.

Ni ushauri tu jamani maana maDC wenzake wapo na wanapiga kazi lakini hawahangaiki na mapozi ya picha za kuweka mitandaoni.

Tatizo ni kuwa wasanii ni watu ambao wako sana kwenye media na yeye katoka huko alishazoea kuandikwa na kupostiwa kila siku.

Sasa amekuwa DC hawezi kufuatwa fuatwa kama zamani kaona bora kazi aifanye yeye mwenyewe maana ameona atakuwa hasikiki bila kujitangaza.

View attachment 1277201
Sijaona kosa lake ukizingatia umri wake na alikotokea.
 
Back
Top Bottom