DC wa Pangani atupia tattoo ya mumewe mubashara

Sijui amewezaje kuwa DC naonaga Hana akili Ni bongo lala mzuri tu hate kuongea naonag kinyaaa hv
ni manipulation za Samia, wape vyeo wake zao na wame zao ili wawe watiifu kupindukia... Mume wa Tulia Ackson kupewa u CEO wa EWURA ni corrupted tactics hizi hizo... Samia akitaka kupiga dili miradi ya Wachina wizara ya Maji au kupitishia ujangili wa hifadhi kupitia Bungeni hawa kina Tulia na Aweso lazima watatii tu...
 
Usilolijya Mume wa Tulia ni boss siku nyingi kabla Tulia hajawa Naibu Spika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…