Pua utadhani ya kubebea kamasi za kijijiDC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Nadhani sio tattoo ni Hina hyoo kajichoraMtumishi wa umma anaruhusiwa kuchora tatoo?
Utoto unamsumbua Bado hajakua Huyu amepewa madaraka mapema SanaaHuyu nae.
Ana shughuli huyooo balaaa tupu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu uduguu tangu aolewe na waziri, bas full heka heka, atuache tupumuee sie mxxxiiieeeew.
Mbona Mme WA tuliΓ alikuaga Yuko huko huko ewura mda sana ,akaondolewa na mwenda zake akaletwa Dom Sijui cheo Gani,nadhani maza kamrudisha Tena ewurani manipulation za Samia, wape vyeo wake zao na wame zao ili wawe watiifu kupindukia... Mume wa Tulia Ackson kupewa u CEO wa EWURA ni corrupted tactics hizi hizo... Samia akitaka kupiga dili miradi ya Wachina wizara ya Maji au kupitishia ujangili Bungeni hawa watatii tu...
Wivu tu.DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
π²π²π²π² hivi kumbe mi nkajua aweso ndo mume wake wa kwanza, kumbe yule alomruhusu ni mwanaume mwingine ili apate muda na awesoYes,sasa alimruhusu maana na yeye alikuwa anapelekewa moto na Aweso.Angekuwa hana spea tairi unafikiri angemruhusu.Sasa kwa nini aliomba talaka ili ahalalishe na Aweso?Ruhusa ya kinafki,inshort alikuwa na mbadala.
Akimkuta mwanafunzi ana tatoo atamkaripia?DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Hiyo inafutika akioga mara moja tuDC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ana haha hatariiii.Ana shughuli huyooo balaaa tupu!
Akili mkichwa,Aweso ni wa pili.π²π²π²π² hivi kumbe mi nkajua aweso ndo mume wake wa kwanza, kumbe yule alomruhusu ni mwanaume mwingine ili apate muda na aweso
Mambo ya ukewenza yanamsumbua.Anamrusha roho mke mkubwa.Utoto unamsumbua Bado hajakua Huyu amepewa madaraka mapema Sanaa
Kuna vingi hajamaliza Bado aliruka stage
Huo ni uumbaji wa MunguKumbe na wewe umeona,aisee ana pua kubwa duu
Asee nliwaza sana eti nimemruhusu mume wangu aoe mke mwingine ili tusaidiane majukumu ππππAkili mkichwa,Aweso ni wa pili.
Typical swahili woman responseHuyu nae.