Ukiwa hoi kibiashara huwezi kuwa na bastola?

Ukikubalika sehemu ndio inakuzuia kufanya uhalifu?

Kwa maoni yangu, utetezi wako doesnt hold water.,
 
Sababu ya kuimulika mitandao ya kijamii ishapatikana sasa
 
Ukiwa hoi kibiashara huwezi kuwa na bastola?

Ukikubalika sehemu ndio inakuzuia kufanya uhalifu?

Kwa maoni yangu, utetezi wako doesnt hold water.,
Aliweza kulipia vipi leseni ya bastola? Kama hakuwa vizuri kibiashara angelikubalika?
 
Naona DCI Manumba hajaeleza kama Hamza aliwahi kusafiri nje ya nchi na kupata mafunzo mbalimbali iwe ya kidini au matumizi ya silaha.
 
Aliwezaje kujenga ofisi ya chama chetu pendwa kwa pesa yake ya mfukoni kama hakuwa na ukwasi.
 
Tuwe wakweli ugaidi hauna chama.

Hivyo uchunguzi uliofanywa na polisi ambao kimsingi ndio wataalamu lazima uheshimiwe.

Kwamba kwa sababu Hamza ni mwanaccm basi hawezi kuwa gaidi hiyo siyo sahihi kabisa.

Tuwaache polisi watimize majukumu yao ya kikatiba.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Watanzania sio wajinga.

Watu wa Chunya huko Makongorosi walikuwa wanamkubali Hamza. Aliahidi kujenga shule, aliajiri watu kibao.
Ahadi hewa? Tuwekee picha za hao watu kibao aliowaajiri uliwaona? ukiambiwa thibitisha mahakamani? tuwekee picha yao wote kibao hapa
 
Hivi polisi wamefanya uchunguzi,,au wame-hypothesize tu...Watuambie affiliated na kundi gani la kigaidi?au wamekuta video ya kikundi gani kwenye simu yake
 
Polisi wajitafakari upya kazi imewashinda alichofanya DCI ni kuchukua umbeya wa mitandaoni na kuurasimisha.
 
Hapa mleta mada ujapafafanua vizuri nadhani kuna vipande umeviruka. Kweli msemaji katoa maelezo kiurahisi hivi!? Kwa sababu maelezo haya yanaibua maswali lukuki!
 
Nimecheeekaaaaaah daaaaaaah!
Polisi wetu bana, sawa zile STORY za kitu chenye ncha kali hawawezi kuziacha!
Jambazi akafariki akikimbizwa hospital!
Salute

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hao polisi waache propaganda, huyo kaua watu waliompora dhahabu zake alipeleka sokoni, sasa mbona hakuua raia.

Sisi tunaojitambua tunaelewa hivyo na wala hizo propaganda feki za polisi haziwezi kubadilisha mindset zetu.
 
Anakuambia eti swala la kudhulumiwa madini sio kweli kwasababu walikumkuta hana madini yoyote eneo la tukio baada ya kumuua 🤣
 
Ndugu wa shujaa Hamza warejeshewe dhahabu zilizo porwa na mapolisi, tuanzie hapo.
 
Haya kawaeleze Wanaccm wa Nzega kabla Husein Bhashe hajafanya yake.

Hao mapolisi wanaoua raia ni wasomali??
Umelewa? Hiki ulichoandika kinahusiana nini na comment yangu? Ujinga ni kudhani kila mtu ni shabiki wa mambo ya vyama vya siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…