Natoa ushauri kwa vyombo vya Polisi kwamba viimarishe Intelijensia yao dhidi ya Wanachama wote wa CCM.

We never know huenda kuna magaidi zaidi ndani ya Chama pendwa!
Hata hivo uchunguzi wo wote ambao umefanyika wakati marehemu hayupo una acha maswali.

Kama marehemu alikuwa kwenye mitandao ya vikundi vyenye misimamo ya imani kali,basi huenda angeingia makanisani na kuanza kuua wakristo! Lakini Polisi?
 
Jeshi la Polisi la Tanzania, kwa ujumla halina uwezo wa kufanya uchunguza.

Halijui kuchunguza hata vyanzo vya ajali barabarani, sembuse ugaidi? Jeshi la Tanzania, kila ikitokea ajali barabarani, utasikia kuwa chanzo cha ajali mara ni mwendo kasi au tairi lilipasuka. Upuuzi mtupu! Nani alikuambia kuwa kila ukienda kasi unapata ajali? Hawaendi mbali zaidi ya kuangalia matokeo badala ya kutafuta visababishi.

Kwenye uchunguzi, jeshi la polisi ni zero. Wanapotoa taarifa za uchunguzi, unagundua kabisa kuwa hawa watu hawana mafunzo yoyote kwenye investigation.
 
Kumbe tunaweza tu kuchunguza kwa muda mfupi hata siku 10 sasa yale mambo ya kesi mwaka mzima uchunguzi unaendelea yanatoka wapi?? Huyu bado kafa lakini wamejuwa yote hayo nawapa hongera lakini mengine mbona mashahidi wapo wazima lakini kila leo uchunguzi haujakamilika. Kazi nchi hii...
 
Taarifa hizi zifike kwa mabalozi wote kuwa Tanzania kwasasa ni kitovu cha Ugaidi.
Hakuna haja sababu Huko nchi zao mabalozi ndio jiko haswa la ugaidi. Ujerumani, Uingereza, Ufaransa, Marekani etc
 
Upuuzi mtupu
 
Polisi ni waongo sana, ile video baada ya Hamza risasi kuisha alinyoosha mikono, kwa askari wenye mafunzo kama ambavyo huwa wanajitapa, wangeweza kumkamata mzima mzima... cha ajabu waliendelea kulenga hewa tena wapo wengi... yaani ni aibu..
Wangemkamata na kumhoji, lakini walikuwa na nia ya wazi kupoteza ushahidi... wakaamua kummaliza

Askari hata shabaha hawana, kaanguka chini bado kwa uoga wakaendelea ku shoot kama hawaamini vile...

Yaani Hamza ukitizama alikuwa highly trained na umakini sana, angekuwa na magazine za kutosha angewalaza sana kwa sababu ya ujinga... lile askari lingine linafikiri sifa kusogea karibu na hatari kiasi kile... yaani ni vituko vitupu...

Hivi hawa polisi wana shida gani
 
😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…