Haya ngoja tukuamini wewe sasa nyumbu! Tupe taarifa ambazo zitakinzana na za huyo DCI.Hawa Polisi si wa kuwaamini kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ngoja tukuamini wewe sasa nyumbu! Tupe taarifa ambazo zitakinzana na za huyo DCI.Hawa Polisi si wa kuwaamini kabisa.
Kama kweli Hamza alikuwa ni Gaidi basi hakuwa Peke yake ndani ya Chama cha Mapinduzi. Haingii akilini kuwa mtu anaweza kujifuza Ugaidi kupitia mitandaoni. Hamza alionekana akitumia silaha ipasavyo. Je na Hilo alijufunzia mitandaoni.Ile intelijensia ya polisi ya fujo kwenye mikutano ya CHADEMA ilikuwa wapi mpaka Hamza akawa gaidi na huku ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya?
Muda mrefu usio kuwa na muda.....na uchunguzi umefanywa..!!!kwamba watu wengi wameongea kwamba alikuwa anamiliki migodi ya madini kule Chunya na maeneo ya Makongolosi uchunguzi wetu umebaini hali hiyo ya maisha ilikwisha simama muda mrefu," ameongeza Wambura.
watu wana pick hizo tabia kutoka kwa marafiki, vikundi, makundi. haijalish umetoka jamii ya kimaskini au tajiri.ball you need ni exposure tuAisee siwez kubisha sana..lakini kwa mtanzania tu aliyekulia katika mazingira ya kitajiri hawez kuwa anajua kushika bunduki vile na kujiamini kiasi kile kwa umri ule...palikua na namna..na inawezekana kabisa ametuma salam kwa wenzake..inaweza kuwa mwanzo wa ugaid tanzania au mwisho wa ugaid inategemea tu na vyombo vya usalama vitakavyolimaliza hili
Mabalozi wapi?Taarifa hizi zifike kwa mabalozi wote kuwa Tanzania kwasasa ni kitovu cha Ugaidi.
Umeanza kuwashwa?Allahu Akbar
We binti mbona kimbele mbele sana?Hapana Ni Jambo la kheri Tena lenye Baraka Za mabikra 70 huko akhera Sheikh
No body will be a judge in his own courseHayo ndiyo majibu sasa pale Polisi wanapoambiwa kuwa wajichunguze wenyewe katika tuhuma ambazo wanahisiwa kuhusika[emoji1782][emoji1782][emoji1782]
kama ni kweli alikuwa mfanya biashara wa madini kwa uzoefu wangu wengi huwa wanajifunza matumizi ya kutumia silaha sababu ya nature ya kazi yao,pia hawa wenzetu asili ya kisomali wengi wanahobi ya uwindajiAisee siwez kubisha sana..lakini kwa mtanzania tu aliyekulia katika mazingira ya kitajiri hawez kuwa anajua kushika bunduki vile na kujiamini kiasi kile kwa umri ule...palikua na namna..na inawezekana kabisa ametuma salam kwa wenzake..inaweza kuwa mwanzo wa ugaid tanzania au mwisho wa ugaid inategemea tu na vyombo vya usalama vitakavyolimaliza hili
Kwa hiyo Tanzania ina vituo vya kufundisha magaidi?Taarifa hizi zifike kwa mabalozi wote kuwa Tanzania kwasasa ni kitovu cha Ugaidi.
CCM imejaza magaidiKama kweli Hamza alikuwa ni Gaidi basi hakuwa Peke yake ndani ya Chama cha Mapinduzi. Hangii akilini kuwa mtu anaweza kujifuza Ugaidi kupitia mitandaoni. Hamza alionekana akitumia silaha ipasavyo. Je na Hilo alijufunzia mitandaoni.
Huyu kazaliwa bongo na siyo SomaliaWasomali kujifundisha silaha ni jambo la kawaida kwao,ni kama utamaduni wao tu,hata kwenye harusi zao hua wanapiga risasi juu,kama Wayemen tu,ni sawa na Mzaramu na ngoma.