Dear Men....

I want a woman who's been hurt before,so i can show her that there still real males like me out here that's gonna hurt her again.
 
Mwanaume anejitambua kabisa hawezi akakaa na mwanamke asimpe hata elfu 10 ya salon. Mwanaume anaeogopa kuhudumia mwanamke wake ipo siku atatunzwa yeye na akiachwa kutunzwa na wanawake atatunzwa na wanaume wenzie maana neno kuhudumia patna halitaki
Hahaahaha..
Ahsantee shoo
 
hiyo quote ingekuwa ni sheria jasho zingetutoka,but as far as mapenzi hayanakanuni kama maisha tu mengine basi kila mtu acheni atumie akili yake ku`handle situation yake ya mapenzi/mahusiano..
 
Eeeh. Kwa wale wanaolalamika mwanamke anapenda pesa waende kwa wasiopenda pesa. Maana ndo wanawaafford.
Ndiyo maana nimekutulipia mbali nikajiebdea kwa shune yeye msaliboko tu kalizika.
 
I want a woman who's been hurt before,so i can show her that there still real males like me out here that's gonna hurt her again.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hiyo quote ingekuwa ni sheria jasho zingetutoka,but as far as mapenzi hayanakanuni kama maisha tu mengine basi kila mtu acheni atumie akili yake ku`handle situation yake ya mapenzi/mahusiano..
Lisingekutoka kama ungesimama kwenye njia yako
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] stress za kuchunwa analeta kwetu!yaani anamaliza hasira zake kwetu!
 
Wacha weeh[emoji40] [emoji125]
 
Siku unajua money is not everything utakuwa umechelewa treni..!
Najua money is not everything ila unasaidia kiasi gani? Money haifanyi mwanamke akapata orgasm au akawa na furaha kwenye relationship ila kama the love is real ukiweka kahela kidogo tu unamarinate relationship yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…