Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
[emoji23] [emoji23] [emoji23] akirudi niambienaomba laki 5
Tuanze mahusiano kwanzanaomba laki 5
Hahaahaha..Mwanaume anejitambua kabisa hawezi akakaa na mwanamke asimpe hata elfu 10 ya salon. Mwanaume anaeogopa kuhudumia mwanamke wake ipo siku atatunzwa yeye na akiachwa kutunzwa na wanawake atatunzwa na wanaume wenzie maana neno kuhudumia patna halitaki
The problem ya wanaume wa sasa wasiojielewa wanahisi akikupa pesa umemfanya baba yake mzazi,hawajui kua asili ya mwanamke ni kupewa!
U can't change nature
Ndiyo maana nimekutulipia mbali nikajiebdea kwa shune yeye msaliboko tu kalizika.Eeeh. Kwa wale wanaolalamika mwanamke anapenda pesa waende kwa wasiopenda pesa. Maana ndo wanawaafford.
Lisingekutoka kama ungesimama kwenye njia yakohiyo quote ingekuwa ni sheria jasho zingetutoka,but as far as mapenzi hayanakanuni kama maisha tu mengine basi kila mtu acheni atumie akili yake ku`handle situation yake ya mapenzi/mahusiano..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] stress za kuchunwa analeta kwetu!yaani anamaliza hasira zake kwetu!Hao wapiga kelele unadhani huwa hawahudumii wanawake zao? Wanawahudumia sana tuu sema wakiingia jf wanajifanya vidume vya kukata na shoka.
Ukisoma comment ya mtu unajua kabisa huyu ana stress za kukwanguliwa pesa na wanawake zake, sema tuu hana ujanja wa kuchomoka huko anabaki kumalizia hasira kwenye maandishi.
Siku unajua money is not everything utakuwa umechelewa treni..!Sio mbaya
Wacha weeh[emoji40] [emoji125]Hao wapiga kelele unadhani huwa hawahudumii wanawake zao? Wanawahudumia sana tuu sema wakiingia jf wanajifanya vidume vya kukata na shoka.
Ukisoma comment ya mtu unajua kabisa huyu ana stress za kukwanguliwa pesa na wanawake zake, sema tuu hana ujanja wa kuchomoka huko anabaki kumalizia hasira kwenye maandishi.
Sana tu,wapole hawana paparaWapo jamani. Tena wapo. Na ni wapole wala hawanaga kelele. [emoji3][emoji3]
Najua money is not everything ila unasaidia kiasi gani? Money haifanyi mwanamke akapata orgasm au akawa na furaha kwenye relationship ila kama the love is real ukiweka kahela kidogo tu unamarinate relationship yakoSiku unajua money is not everything utakuwa umechelewa treni..!