halafu sijui ni hawa wanaume wa kisasa/siku hizi, natamani ni confess kitu hapa ila tu ngoja niuchune, yaani mie nikimsikia mwanaume analalama hivyo sijui namuonaje vile, subirini wawe wife lakini hawa wakula nao gud time mtajikuna tu, loo bora mie wa enzi zile niliwafaidi wanaume...hahahahah
Family focused(kutimiza mahitaji ya familia yake) + plus atleast kuwa good on bed
na si kuhonga vinuka mkojo
Inaonekana mkeo, mama yako mzazi, na dada zako ndiyo wanatoa hiyo shombo ya samaki, halafu inaonyesha wewe pia unanuka na mshamba hujui kitu. na unaonyesha jinsi gani ulivyomjinga na uelewa wako ulivyo mdongo.Hata mie nimecheka sana....bora umekuwa wazi kutudhihirishia hapa jamvini kwamba...wewe ni mchafu na unanuka ndio maana unatumia pafyumu ambazo unajua ukitupulizia kidogo tu itaondoa lile shombo la samaki....teheteheteheeee...mwanamke wa kweli kitu pureeee...kikipigwa maji tu tosha...No fangasi, No mijiharufu inayofanana na shombo la samaki
Mi mara ya kwanza kabisa kumpa mwanamke ela nilimpa sh 2000. Iliniuma sana maana nilikuwa nimepewa pocket money 5000, nimeshatumia 1500 na nilipotoa hiyo elfu 2 ikabaki 1500 ambayo nilitakiwa kuibajeti hadi shule itakapofungwa miezi 5 ijayo! Niliteseka sana ile term maana hata 1500 ilikuwa natumia naye tena:angry:
Nililaani sana na nikajiapiza sitakaa nihonge mwanamke... Pamoja na kujiapiza kote, ukiniambia saa hizi eti ndo natoa viburungutu.... kweli hii ni laana...
ha ha ha bahili.com elfu themanini anatoa thread akiombwa laki 5 huyu!!!!!
Family focused(kutimiza mahitaji ya familia yake) + plus atleast kuwa good on bed
na si kuhonga vinuka mkojo
Inaonekana mkeo, mama yako mzazi, na dada zako ndiyo wanatoa hiyo shombo ya samaki, halafu inaonyesha wewe pia unanuka na mshamba hujui kitu. na unaonyesha jinsi gani ulivyomjinga na uelewa wako ulivyo mdongo.
Teh teh..ukiona mtu kafyumu kiasi hiki baada ya kutuma msg a.k.a Kombora ni dhairi shairi kwamba Ujumbe wako aidha umemuuma ama umeutua pahala pake...tehe tehetehehehehehehe!!!!
I lavyu sana Mama Tina...kwa kuwa wewe ni mfano wa kuigwa hususani katika masuala ya usafi...teheteheheee...hata sioni kinyaaa kuzamia panapozamiwa...teheeteheeee...asante mama kwa kuwa wewe ni mrembo mpaka baba huwa nakukubali sana na kila mara ananiambia niwe na mke anayefanana na wewe, oh..kwa bahati mbaya dada sina ila ningekuwa nao...ningewapa makavu live pia.....
Ujinga upo mwingi sana hata hule wa kutumia pafyumu ya 80 na kuendelea ili kuondoa shombo ni ujinga pia ambao unahitaji kuelimishwa......na huo uelewa mdogo ndio ulionifanya nitafakari nikajiuliza kwanini tunatumia pafyum!!?? Je ni urembo!?? ama nia ni kuondoa Harufu kali ya kwapaz....na zile harufu za kule kwingine!!??? Bado uelewa wangu ni mdogo kweli!!?? teheteheteehhhheeeee
hahahahaha mia miain bed....
Inaonekana mkeo, mama yako mzazi, na dada zako ndiyo wanatoa hiyo shombo ya samaki, halafu inaonyesha wewe pia unanuka na mshamba hujui kitu. na unaonyesha jinsi gani ulivyomjinga na uelewa wako ulivyo mdongo.
jamani nyie moderators vipi huu uzi alioquote Lisa umeandikwa na mtu ingine inakuwa vipi inaonekana kama me ndio nimeandika?
wenzako tunatoa tu,maumivu baadaye.Hivi kwanini hawa watu hawakomi. Kila siku kazi yao kupiga mizinga. Hivi kila mtu angekua akihitaji hela anaomba tu maisha si yangekuwa easy. Watu tunapiga hustling za kufa mtu then jitu linakuja tu kuomba. "Dia babaako pambaf.. "
Hivi kwanini hawa watu hawakomi. Kila siku kazi yao kupiga mizinga. Hivi kila mtu angekua akihitaji hela anaomba tu maisha si yangekuwa easy. Watu tunapiga hustling za kufa mtu then jitu linakuja tu kuomba. "Dia babaako pambaf.. "
Unahonga wenzako tunakula mzigo sio mbaya hudumia sisi twala na siku zote mwanamke anayependa kuhongwa hajatulia na wala haridhiki na pesa hata umpe milion kumi kwa siku lazima atakua na mwingine anaempa elf kumi, na wengine wakihongwa nao wanahongaToa ujinga wako,mwanaume asifiwi kuonga
mimi mwenyewe nimeshangaa kwa upande mwingine umenisifia kurudi huku nakuta umenikashifu, sielewi sasa ni nani kaandika kari yako na baba Tina.jamani nyie moderators vipi huu uzi alioquote Lisa umeandikwa na mtu ingine inakuwa vipi inaonekana kama me ndio nimeandika?
Teh teh..ukiona mtu kafyumu kiasi hiki baada ya kutuma msg a.k.a Kombora ni dhairi shairi kwamba Ujumbe wako aidha umemuuma ama umeutua pahala pake...tehe tehetehehehehehehe!!!!
I lavyu sana Mama Tina...kwa kuwa wewe ni mfano wa kuigwa hususani katika masuala ya usafi...teheteheheee...hata sioni kinyaaa kuzamia panapozamiwa...teheeteheeee...asante mama kwa kuwa wewe ni mrembo mpaka baba huwa nakukubali sana na kila mara ananiambia niwe na mke anayefanana na wewe, oh..kwa bahati mbaya dada sina ila ningekuwa nao...ningewapa makavu live pia.....
Ujinga upo mwingi sana hata hule wa kutumia pafyumu ya 80 na kuendelea ili kuondoa shombo ni ujinga pia ambao unahitaji kuelimishwa......na huo uelewa mdogo ndio ulionifanya nitafakari nikajiuliza kwanini tunatumia pafyum!!?? Je ni urembo!?? ama nia ni kuondoa Harufu kali ya kwapaz....na zile harufu za kule kwingine!!??? Bado uelewa wangu ni mdogo kweli!!?? teheteheteehhhheeeee
Ndiyo maana nakwambia kaangalie mkeo na nduguzo wa kike na mama yako kama wana hiyo shombo, maana kutumia perfume ya bei si lazima uwe na harufu . lakini inaonyesha hao nilotaja hapo wanayo hiyo shombo si nenda kamnunulie na wao ili waondoe hiyo shombo
mimi mwenyewe nimeshangaa kwa upande mwingine umenisifia kurudi huku nakuta umenikashifu, sielewi sasa ni nani kaandika kari yako na baba Tina.
My dia muda wa kuandika ----- hata sina ila nimeshangaa naona thread za huyo jamaa zinavyotumia id yangu nafikiri kuna tatizo mahali si unaona hata hiyo ulimyoquote inaonyesha we ndo author?
Kwi kwi kwi mzee wa kucheza peku na kukimbia mimba....kama ishu ndogo ya mimba umeikimbia itakua kuoa? Eti tunaoaga...waache responsible and mature men wazungumze
Na wewe siku moja m-text umwambie Dia, nina hamu sana ya TiGo, sasa utanisaidiaje?