"Dear nina shida na elfu 80 utansaidiaje" Duh! maisha yangekuwa easy kiasi hicho?

"Dear nina shida na elfu 80 utansaidiaje" Duh! maisha yangekuwa easy kiasi hicho?

Ni kweli for sure utegemezi dada zangu wa Jf mjifunze kiukweli kabisa ukionyesha tu dependency kwa Mwanaume first date!Hata kama alikuwa na nia na wewe atakutimizia na kukugegeda na kisha kusepa...Amin usiamini!Na nadhan hii inatokana na kukataa tamaa kuwa kila mwanaume atamgegeda na kusepa !sasa solution ni kujiheshimu my dadaz

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nyamayao wakati umekwenda wapi??????
but hata kama nikiwa na pesa yangu kwenye pochi
napenda kuona mwanaume akifungua waleti yake
kwa ajili yangu pia, ha ha ha ha ha haaaaaaaa.

halafu sijui ni hawa wanaume wa kisasa/siku hizi, natamani ni confess kitu hapa ila tu ngoja niuchune, yaani mie nikimsikia mwanaume analalama hivyo sijui namuonaje vile, subirini wawe wife lakini hawa wakula nao gud time mtajikuna tu, loo bora mie wa enzi zile niliwafaidi wanaume...hahahahah
 
Last edited by a moderator:
Hata mie nimecheka sana....bora umekuwa wazi kutudhihirishia hapa jamvini kwamba...wewe ni mchafu na unanuka ndio maana unatumia pafyumu ambazo unajua ukitupulizia kidogo tu itaondoa lile shombo la samaki....teheteheteheeee...mwanamke wa kweli kitu pureeee...kikipigwa maji tu tosha...No fangasi, No mijiharufu inayofanana na shombo la samaki
Inaonekana mkeo, mama yako mzazi, na dada zako ndiyo wanatoa hiyo shombo ya samaki, halafu inaonyesha wewe pia unanuka na mshamba hujui kitu. na unaonyesha jinsi gani ulivyomjinga na uelewa wako ulivyo mdongo.
 
Mi mara ya kwanza kabisa kumpa mwanamke ela nilimpa sh 2000. Iliniuma sana maana nilikuwa nimepewa pocket money 5000, nimeshatumia 1500 na nilipotoa hiyo elfu 2 ikabaki 1500 ambayo nilitakiwa kuibajeti hadi shule itakapofungwa miezi 5 ijayo! Niliteseka sana ile term maana hata 1500 ilikuwa natumia naye tena:angry:

Nililaani sana na nikajiapiza sitakaa nihonge mwanamke... Pamoja na kujiapiza kote, ukiniambia saa hizi eti ndo natoa viburungutu.... kweli hii ni laana...

Mkuu mie sitoe viburungutu kuhonga ...........................!:nono:
Viburungutu nampa wife pekee .................................!:rockon:
Maana yeye ndio wa thamani kwangu hao wengine ni kupiga starehe kimtindo na kumtoa kiaina ila viburungutu ni kwa wife tu kama hivyo vilivyoko kwenye avatar yangu ..............!:bounce:
 
ha ha ha bahili.com elfu themanini anatoa thread akiombwa laki 5 huyu!!!!!

ndo nashangaa hata mimi nishajifunza huyu bado 80k anaanzisha thread...

"Women, cant live with them, cant live without them! "
 
Hadi unamfuata kumtongoza hukujua kuwa ni kinuka mkojo? Hukujua unafamilia? Maadam umeamua mwenyewe kumfuata lazima uhudumie meeen

Family focused(kutimiza mahitaji ya familia yake) + plus atleast kuwa good on bed
na si kuhonga vinuka mkojo
 
Inaonekana mkeo, mama yako mzazi, na dada zako ndiyo wanatoa hiyo shombo ya samaki, halafu inaonyesha wewe pia unanuka na mshamba hujui kitu. na unaonyesha jinsi gani ulivyomjinga na uelewa wako ulivyo mdongo.

Teh teh..ukiona mtu kafyumu kiasi hiki baada ya kutuma msg a.k.a Kombora ni dhairi shairi kwamba Ujumbe wako aidha umemuuma ama umeutua pahala pake...tehe tehetehehehehehehe!!!!

I lavyu sana Mama Tina...kwa kuwa wewe ni mfano wa kuigwa hususani katika masuala ya usafi...teheteheheee...hata sioni kinyaaa kuzamia panapozamiwa...teheeteheeee...asante mama kwa kuwa wewe ni mrembo mpaka baba huwa nakukubali sana na kila mara ananiambia niwe na mke anayefanana na wewe, oh..kwa bahati mbaya dada sina ila ningekuwa nao...ningewapa makavu live pia.....
Ujinga upo mwingi sana hata hule wa kutumia pafyumu ya 80 na kuendelea ili kuondoa shombo ni ujinga pia ambao unahitaji kuelimishwa......na huo uelewa mdogo ndio ulionifanya nitafakari nikajiuliza kwanini tunatumia pafyum!!?? Je ni urembo!?? ama nia ni kuondoa Harufu kali ya kwapaz....na zile harufu za kule kwingine!!??? Bado uelewa wangu ni mdogo kweli!!?? teheteheteehhhheeeee
 
Inaonekana mkeo, mama yako mzazi, na dada zako ndiyo wanatoa hiyo shombo ya samaki, halafu inaonyesha wewe pia unanuka na mshamba hujui kitu. na unaonyesha jinsi gani ulivyomjinga na uelewa wako ulivyo mdongo.

jamani nyie moderators vipi huu uzi alioquote Lisa umeandikwa na mtu ingine inakuwa vipi inaonekana kama me ndio nimeandika?
 
Hivi kwanini hawa watu hawakomi. Kila siku kazi yao kupiga mizinga. Hivi kila mtu angekua akihitaji hela anaomba tu maisha si yangekuwa easy. Watu tunapiga hustling za kufa mtu then jitu linakuja tu kuomba. "Dia babaako pambaf.. "
wenzako tunatoa tu,maumivu baadaye.
 
Hivi kwanini hawa watu hawakomi. Kila siku kazi yao kupiga mizinga. Hivi kila mtu angekua akihitaji hela anaomba tu maisha si yangekuwa easy. Watu tunapiga hustling za kufa mtu then jitu linakuja tu kuomba. "Dia babaako pambaf.. "

Mitusi yote hii umeombwa elfu 80 je ukiombwa gari kama mimi si utaenda kumtangaza ITV wewe.
 
Toa ujinga wako,mwanaume asifiwi kuonga
Unahonga wenzako tunakula mzigo sio mbaya hudumia sisi twala na siku zote mwanamke anayependa kuhongwa hajatulia na wala haridhiki na pesa hata umpe milion kumi kwa siku lazima atakua na mwingine anaempa elf kumi, na wengine wakihongwa nao wanahonga
 
Teh teh..ukiona mtu kafyumu kiasi hiki baada ya kutuma msg a.k.a Kombora ni dhairi shairi kwamba Ujumbe wako aidha umemuuma ama umeutua pahala pake...tehe tehetehehehehehehe!!!!

I lavyu sana Mama Tina...kwa kuwa wewe ni mfano wa kuigwa hususani katika masuala ya usafi...teheteheheee...hata sioni kinyaaa kuzamia panapozamiwa...teheeteheeee...asante mama kwa kuwa wewe ni mrembo mpaka baba huwa nakukubali sana na kila mara ananiambia niwe na mke anayefanana na wewe, oh..kwa bahati mbaya dada sina ila ningekuwa nao...ningewapa makavu live pia.....
Ujinga upo mwingi sana hata hule wa kutumia pafyumu ya 80 na kuendelea ili kuondoa shombo ni ujinga pia ambao unahitaji kuelimishwa......na huo uelewa mdogo ndio ulionifanya nitafakari nikajiuliza kwanini tunatumia pafyum!!?? Je ni urembo!?? ama nia ni kuondoa Harufu kali ya kwapaz....na zile harufu za kule kwingine!!??? Bado uelewa wangu ni mdogo kweli!!?? teheteheteehhhheeeee

Ndiyo maana nakwambia kaangalie mkeo na nduguzo wa kike na mama yako kama wana hiyo shombo, maana kutumia perfume ya bei si lazima uwe na harufu . lakini inaonyesha hao nilotaja hapo wanayo hiyo shombo si nenda kamnunulie na wao ili waondoe hiyo shombo
 
mimi mwenyewe nimeshangaa kwa upande mwingine umenisifia kurudi huku nakuta umenikashifu, sielewi sasa ni nani kaandika kari yako na baba Tina.

My dia muda wa kuandika ----- hata sina ila nimeshangaa naona thread za huyo jamaa zinavyotumia id yangu nafikiri kuna tatizo mahali si unaona hata hiyo ulimyoquote inaonyesha we ndo author?
 
unajua jeneke mm ninacho shangaa kuwa inatokea jina langu kama vile nimeandika mm lakini si mm , ndiyo maana nami nikajibu, lakini kama si wewe naomba unisamehe. Lakini ngoja nimuandikie Invisible aangalie kuwa ni nn kinaendelea kwa nini jina langu linatokea kama vile ni mm nimeandika wakati kaandika baba Tina.
 
Kwi kwi kwi mzee wa kucheza peku na kukimbia mimba....kama ishu ndogo ya mimba umeikimbia itakua kuoa? Eti tunaoaga...waache responsible and mature men wazungumze

Ha ha ha ha ha ha!! mbona unakuwa kama mshamba ndugu yangu?? wewe una uhakika gani kama nilichoandika pale kinanihusu mimi?? Duh wabongo bwana.....naona imekuuuma sana.....by the way,hii ni mada nyingine mkuu....na unakosea kuamini kila kitu anachokiandika mtu hapa jamiiforums kimemkuta au kinamhusu moja kwa moja.....

Anyway.......kwa faida yako na wenzako wenye mawazo kama yako,ile issue kule hainihusu....kuna mtu alihitaji ushauri wangu.....ikabidi nije kupata mawazo ya wadau huku kwanza....

Siku nyingine usicganganye threads,......sawa....??

 
Back
Top Bottom