Pamoja na uwepo wa mdahalo kati yao, mdahalo huo haukuwa na topic maalum isipokuwa aina ya majigambo.
Sasa basi huu ni mdahalo wa wiki nzima kwanzia leo Jumapili mpaka Jumapili ijayo tutakapopata mshindi wetu.
Nyani Ngabu na FaizaFoxy karibuni katika mdahalo huku tukisubiri ule wa makonda na Nyani Ngabu.
Tunaangazia suala la mzozo kati ya Hamas na Israel. Nataka msemaji wa kwanza kutoa maoni yake.
NB: twende kwa hoja si kejeli, pia ukiuliza subiri jibu la wenzio akishindwa aseme.
Sasa basi huu ni mdahalo wa wiki nzima kwanzia leo Jumapili mpaka Jumapili ijayo tutakapopata mshindi wetu.
Nyani Ngabu na FaizaFoxy karibuni katika mdahalo huku tukisubiri ule wa makonda na Nyani Ngabu.
Tunaangazia suala la mzozo kati ya Hamas na Israel. Nataka msemaji wa kwanza kutoa maoni yake.
NB: twende kwa hoja si kejeli, pia ukiuliza subiri jibu la wenzio akishindwa aseme.