Debate challenge: Mgogoro wa Hamas na Israeli

Debate challenge: Mgogoro wa Hamas na Israeli

Hamkuwaanda?
Kuandaliwa Vipi Faizan alitaka bato kwa muda wowote saa yoyote na siku yoyote , hapa natarajia awe wa Kwanza maana mwenzie Yuko na Konda boy, akiona atakuja
 
Pamoja na uwepo wa mdahalo kati yao, mdahalo huo haukuwa na topic maalum isipokuwa aina ya majigambo.

Sasa basi huu ni mdahalo wa wiki nzima kwanzia leo Jumapili mpaka Jumapili ijayo tutakapopata mshindi wetu.


Nyani Ngabu na FaizaFoxy karibuni katika mdahalo huku tukisubiri ule wa makonda na Nyani Ngabu .


Tunaangazia suala la mzozo kati ya Hamas na Israel. Nataka msemaji wa kwanza kutoa maoni yake

Nb twende kwa hoja si kejeli, pia ukiuliza subiri jibu la wenzio akishindwa aseme
muache ukhty wetu, apumzike ajenge familia bora ya kiislam
 
Kwani Nyani Ngabu ye ametokea? Unaonyesha tayari unao upande wako, hukufaa kuendesha huu mdahalo
Kwani wa Kwanza kuomba bato ni Nani ?

Kama angekuwa likizo anesema siku hiyo alikiwa online insmana hajaona notification?

Na hii ndo deadline?

Unataka kusema hawapo online wakati nyuzi zingine wanacomment?

Wewe ni mjinga fuatilia nyuzi zao kwani ngabu aliomba bato?


Faiza aliomba bato liamdiwe kati Yake na ngabu lakini yeye ndiye aliyetakiwa kuwa wa Kwanza kuja hapa ila mpaka sasa hajaonekana na hawa walishashindanushwa hapo kale ngabu akashinda, sasa kama ni mkanda wa ngumi Nani anaendelea kuushika?



Ipo hapo au bado ipo mbele ya treni?, pole 😀😀
 
Kwani wa Kwanza kuomba bato ni Nani ?

Kama angekuwa likizo anesema siku hiyo alikiwa online insmana hajaona notification?

Na hii ndo deadline?

Unataka kusema hawapo online wakati nyuzi zingine wanacomment?

Wewe ni mjinga fuatilia nyuzi zao kwani ngabu aliomba bato?


Faiza aliomba bato liamdiwe kati Yake na ngabu lakini yeye ndiye aliyetakiwa kuwa wa Kwanza kuja hapa ila mpaka sasa hajaonekana na hawa walishashindanushwa hapo kale ngabu akashinda, sasa kama ni mkanda wa ngumi Nani anaendelea kuushika?



Ipo hapo au bado ipo mbele ya treni?, pole 😀😀
Mjinga mwenyewe pumbavu mkubwa wewe,
ulimtaarifu kabla FaizaFoxy kwamba utafanya debate leo na muda fulan na akakukubalia?

Au unadhani humu wote ni ma jobless kama wewe kula Kwa shemeji, hawana kazi ingine, wanashinda JF toka asubuhi?
 
Pamoja na uwepo wa mdahalo kati yao, mdahalo huo haukuwa na topic maalum isipokuwa aina ya majigambo.

Sasa basi huu ni mdahalo wa wiki nzima kwanzia leo Jumapili mpaka Jumapili ijayo tutakapopata mshindi wetu.


Nyani Ngabu na FaizaFoxy karibuni katika mdahalo huku tukisubiri ule wa makonda na Nyani Ngabu .


Tunaangazia suala la mzozo kati ya Hamas na Israel. Nataka msemaji wa kwanza kutoa maoni yake

Nb twende kwa hoja si kejeli, pia ukiuliza subiri jibu la wenzio akishindwa aseme
Hapo ulipo wewe kuna umeme?
 
Mjinga mwenyewe pumbavu mkubwa wewe,
ulimtaarifu kabla FaizaFoxy kwamba utafanya debate leo na muda fulan na akakukubalia?

Au unadhani humu wote ni ma jobless kama wewe kula Kwa shemeji, hawana kazi ingine, wanashinda JF toka asubuhi?
Pole muda wowote!, uharifiwe nini? Ulisema muda wowote manake iko tayari wakati inasema hukujua kuwa Una kazi ,Pole bato is over
 
Mjinga mwenyewe pumbavu mkubwa wewe,
ulimtaarifu kabla FaizaFoxy kwamba utafanya debate leo na muda fulan na akakukubalia?

Au unadhani humu wote ni ma jobless kama wewe kula Kwa shemeji, hawana kazi ingine, wanashinda JF toka asubuhi?
Nilikua sijaona hii, nipo hapa. Ilikua iw lini. Mbona nipo ready kwa hili anytime. Ngoja nikasome huko.

Ahsante sana kwa kuniita na kumpasha huyo poyoyo.
 
Pamoja na uwepo wa mdahalo kati yao, mdahalo huo haukuwa na topic maalum isipokuwa aina ya majigambo.

Sasa basi huu ni mdahalo wa wiki nzima kwanzia leo Jumapili mpaka Jumapili ijayo tutakapopata mshindi wetu.


Nyani Ngabu na FaizaFoxy karibuni katika mdahalo huku tukisubiri ule wa makonda na Nyani Ngabu .


Tunaangazia suala la mzozo kati ya Hamas na Israel. Nataka msemaji wa kwanza kutoa maoni yake

Nb twende kwa hoja si kejeli, pia ukiuliza subiri jibu la wenzio akishindwa aseme
Mimi nipo ready. Nianze?

Naanza, Hamas walishinda vita wiki ya kwanza tu na uzi niliandika, hilo anae challenge yeyote aje, iwe nyani au tumbiri, "I care the less.
 
Pole muda wowote!, uharifiwe nini? Ulisema muda wowote manake iko tayari wakati inasema hukujua kuwa Una kazi ,Pole bato is over
Haya,
FaizaFoxy ameshaanza, mbona husemi ngabu amekimbia? Nilikiambia toka mwanzo kua ukiwa mwendesha mjadala hutakiwi kua na upande.
 
Back
Top Bottom