Huyu bibi mdini siyo mwelewa achana nae.
Kumbe wewe siyo mbibi basi karibu nikuoeUna uhakika ni bibi/ke?
Nitakuwa upande wa FaizaFoxyPamoja na uwepo wa mdahalo kati yao, mdahalo huo haukuwa na topic maalum isipokuwa aina ya majigambo.
Sasa basi huu ni mdahalo wa wiki nzima kwanzia leo Jumapili mpaka Jumapili ijayo tutakapopata mshindi wetu.
Nyani Ngabu na FaizaFoxy karibuni katika mdahalo huku tukisubiri ule wa makonda na Nyani Ngabu .
Tunaangazia suala la mzozo kati ya Hamas na Israel. Nataka msemaji wa kwanza kutoa maoni yake
Nb twende kwa hoja si kejeli, pia ukiuliza subiri jibu la wenzio akishindwa aseme
Hahaaa,, yerewiii!Wanaongea vita wakiwa vyumbani ? Waende uwanja wa vita
Sijakosea tulieni twende na mara faiza alisemaHalafu umetukosea sana kutushindanishia ukhy Faiza na huyo mbeba mabox...
Wamekupa ruhusa?
Mi nafikiri kuijadili Hamas kutamfanya anaeitetea kukosa point za msingi cos Hamas imeanzishwa mwaka 1988 tu hapa na inaanzishwa huku unakuta vita ipo.Swali la kwanza kwa wote,nani alianzisha hii vita?,pili kulikua na mazungumzo kati ya Hamas na Israel kipindi hicho cha mwanzo wa vita pale 🇦🇪, nani alisaliti mazungumzo yale?,tatu nini maoni yao ya kuwa na 2 states zitakazoishi in harmony?
bi faizafox akijichanganya kwa magaidi wenzake kama anavyojinasibu ni demu la magaidi atalipuliwa huko uwanjani mwa vita, bara abishane akiwa mafichoniWanaongea vita wakiwa vyumbani ? Waende uwanja wa vita