Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Mimi si agent, ila naona kama mtu asiyejulikana hata jina lake kwa uhakika kusema anataka mdahalo na mtu anayejulikana kuna mizani fulani ya kuweka mambo sawa inakuwa haijatimia.

Inabidi wote wawili wajulikane ili tuende kwenye mdahalo na level playing field.
Fair enough.

Naitwa Nzagamba Migato na Bashite akishakubali challenge yangu nitawasilisha vitambulisho vyangu kwa moderator wa mdahalo.
 
Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Huyo jamaa hapo amezungumzia hip hop tu?amezungumzia vitu ving...ila wewe umeona hip hop tu[emoji1787]daah aisee sijui hiz bhang za miaka hii huwa mnachanganya na nini?
 
Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Hivi umeelewa hata kilichoandikwa na huyu mbeba boksi kweli?

Akili yako yooooote imeona hip hop tu hapo. Mbona kaelezea vyote kabisa na kampa Makonda uwanja mpana sana achague topic ya kudibetia

Yani unamuita Hii nyani nzee nzee mtoto hadi umwambie utoto raha? I bet We utakuwa mgeni JF
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.


Mdahalo unafanyia JF na fake ID yako?


Uwe unaandika lugha moja iliyonyooka sio unarukaruka kama paka mgonjwa.

Kwanza inaonekana hata kupanga mawazo kwako ni mtihani kutwa kubeba misemo na kuchota misamiati kwenye kamusi kisha kuja kafanya matumizi yake hapa.

Huwezi kufanya mdahalo wowote baki na fake ID yako tu.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mdahalo unafanyia JF na fake ID yako?


Uwe unaandika lugha moja iliyonyooka sio unarukaruka kama paka mgonjwa.

Kwanza inaonekana hata kupanga mawazo kwako ni mtihani kutwa kubeba misemo na kuchota misamiati kwenye kamusi kisha kuja kafanya matumizi yake hapa.

Huwezi kufanya mdahalo wowote baki na fake ID yako tu.
Misamiati gani niliyoichota kwenye kamusi?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Eti ni kweli covid vaccine ni "safe and effective" ila inaleta myocarditis?

Hahaha..Myocarditis atajulia wapi?

Effectiveness, Efficacy, Therapeutic index, toxicity,side effects and efficiency hana hajualo huyo.

Covid yenyewe tu labda ajue ni viral disease sio kingine.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mdahalo unafanyia JF na fake ID yako?


Uwe unaandika lugha moja iliyonyooka sio unarukaruka kama paka mgonjwa.

Kwanza inaonekana hata kupanga mawazo kwako ni mtihani kutwa kubeba misemo na kuchota misamiati kwenye kamusi kisha kuja kafanya matumizi yake hapa.

Huwezi kufanya mdahalo wowote baki na fake ID yako tu.

Mdahalo huwezi.

Baki na American english yako na kuchota misamiati kuja kuonyesha umahiri wako kwa lugha ya kiingereza kumbe bure kabisa.


Tumia lugha moja kama ni bingwa( english).
 
  • Thanks
Reactions: 511
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Sukuma gang mtatoana macho
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mdahalo ungepangwa tatizo mkuu huna influence na umaarufu kama Paul Makonda !!
Hatuna shaka na uwezo wako ,
Makonda ana umaarufu gani hapa nchini?

Kwanza atwambie ni kwa sababu gani serikali ya USA hawamtaki nchini kwao?
 
Ana hukuwepo wewe. Si ajabu bado ulikuwa darasa la 6 🤣.

Faiza kanikuta humu JF……
Ulikuwa mwaka gani eti😂😂😂😂
Dah!
Dunia ina mambo hii

Si ajabu hata simu nilikuwa sina🤣🤣🤣


Kumbe huyu bibi naye aliwahi kuchakazwa na hoja🤣🤣🤣
 
Hizi shithole countries, eti SG wa political party analindwa na tiss kwa kutumia kodi yangu, hii ni craze
Angalia vizuri kwenye picha hapo kuna pia makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar ambaye ndiye yupo na hao usalama wa Taifa .hata hivyo tambua ya kuwa katibu mkuu wa CCM kihadhi huwezi ukamlinganisha na yule wa CHADEMA .
 
Back
Top Bottom