Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Sasa Bro. Unakuwaje mwanasiasa wa mwaka 2024 ikiwa hujui hip hop ni nini ilitokea wapi kwanini na inaenda wapi

Achana na huko mbelembele kwa kina Senti Hamsini ivi leo hii umesahau Nay wa Mitego amefungiwa mziki mara kadhaa

Roma mkatoliki yuko wapi sasa unaachaje kujua hayo na content zake ili uweze kupambanua mambo kadha yaliyojiri katika medani za siasa kwa kuhusiana na muziki wa Hip Hop

We Zombi kweli hapo umejiona umeuwa kumbe umekufa mwenyewe inawezekanaje mwansiasa wa 2024 hujui historia na athari ya Hip Hop pumbavu kabisa

Yani nisawa na mwana sheria asiye jua historia ya ulimwengu

Mijitu mingine bogus kabisa
 
Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Why are you attacking hip hop?!. Kwa nini hamuwezi kujiweka mbali na mziki ambao haujawachagua?!Kama ushamba unao ni wako!.
 
Nyamitako Bashite ni mwingi wa hoja na mjuzi wa kubwata.

Atazipangua hoja zako hautaaminii utabaki mdomo wazi .
 
Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Utoto unao wewe nyinyi ndio uhalisia wa Lumumba buku 7
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Don't waste your intelligence
 
Hatushindani ushawishi wala umaarufu.
Msianze kumpa visingizio.
Kwanza umejificha.
Pili ni nani wewe?
Tatu umetoka wapi aubkutumwa nani na kwa sababu zipi?

Huna influence yoyote labda hapa JF otherwise pale kwenye nyumba unayoishi tu na yawezekana in your door room 🤓!.
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Kumbe nyote ni form too failure
 
Back
Top Bottom