Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Bro. Unakuwaje mwanasiasa wa mwaka 2024 ikiwa hujui hip hop ni nini ilitokea wapi kwanini na inaenda wapiMakonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"
Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utoto raha kweli
Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..
Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.
Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.
Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Nyani unajisikiaje kupita karibu na hiyo nyumba ya tope?
We unamwona ni mjengaji hoja mzuri? Hana lolote huyo!Ulikuwa mwaka gani eti😂😂😂😂
Dah!
Dunia ina mambo hii
Si ajabu hata simu nilikuwa sina🤣🤣🤣
Kumbe huyu bibi naye aliwahi kuchakazwa na hoja🤣🤣🤣
2008 nilikuwa la sita. 🥴Ana hukuwepo wewe. Si ajabu bado ulikuwa darasa la 6 🤣.
Faiza kanikuta humu JF……
Why are you attacking hip hop?!. Kwa nini hamuwezi kujiweka mbali na mziki ambao haujawachagua?!Kama ushamba unao ni wako!.Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"
Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli
Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..
Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.
Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.
Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Hoja imeungwa mkono! Irudiwe.Hee
Hii ilikuwa lini?
Irudiwe
Link ya huo uzi tafadhali🙏Hahaha..kitambo sana hii tafuta uzi wake uone mwenyewe
Irudiwe irudiweeHoja imeungwa mkono! Irudiwe.
Irudiwee irudiweWe unamwona ni mjengaji hoja mzuri? Hana lolote huyo!
Ni mwepesi sana.
Utoto unao wewe nyinyi ndio uhalisia wa Lumumba buku 7Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"
Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli
Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..
Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.
Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.
Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Hongera kaka kwa kuanza kuchagua mapema
Search Faiza Foxy vs Nyani NgabuLink ya huo uzi tafadhali🙏
Hahahahaha na mm ndio nilianzisha huo mjadala, search Faiza Foxy vs Nyani Ngabu uone madini
Faiza ndio yupo juu atashinda mie nampigia kura zangu kwa FaizaFoxy mwamwaSearch Faiza Foxy vs Nyani Ngabu
Don't waste your intelligencePaul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.
Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.
Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.
Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.
I know for a fact I’ll wipe the floor with him.
So what’s up Bashite? Come debate me.
I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.
Bring it Bashite. Just bring it.
When you lose
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...www.jamiiforums.com
Kwanza umejificha.Hatushindani ushawishi wala umaarufu.
Msianze kumpa visingizio.
Kumbe nyote ni form too failurePaul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.
Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.
Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.
Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.
Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.
I know for a fact I’ll wipe the floor with him.
So what’s up Bashite? Come debate me.
I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.
Bring it Bashite. Just bring it.
When you lose
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...www.jamiiforums.com
Nashukuru sana mkuu. Ngoja nijaribu.Search Faiza Foxy vs Nyani Ngabu