Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Mnamuokoa Bashite kijanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamuokoa Bashite kijanja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka tu madereva alie tena [emoji1787][emoji1787]
Wee wizo acha kumpamba bashite, yule hata mie kwa mdahalo namzidi mbali sanaNyamitako Bashite ni mwingi wa hoja na mjuzi wa kubwata.
Atazipangua hoja zako hautaaminii utabaki mdomo wazi .
Nasikia ni bibi kizee, mavuzi ni meupe.Anywhen anywhere!
Ila nikishinda namkula…..
Uliwafanyaje?Mimi sikumbuki kufanya mdahalo wowote na huyo mbarikiwa.
Huyo na mwenzake anaitwa Kiranga hawana hamu na mimi.
Wamekumbana na kisiki cha mpingo.Uliwafanyaje?
Mbona nimeangalia ule mdahalo ulikimbia? Kumbe tunakupaga maujiko bure tu.Wamekumbana na kisiki cha mpingo.
Asubuhi tu ushamgaragazaHahahaa.
Mdahalo na Bashite katika lugha yoyote ile atakayochagua.
He knows he can’t F with me [emoji3].
Kaka mbona sioni??Search Faiza Foxy vs Nyani Ngabu
Nitag basi mkuu, mi siuoniMbona nimeangalia ule mdahalo ulikimbia? Kumbe tunakupaga maujiko bure tu.
SiasaJukwaa gani?
Mkuu usimkingie kifua Makonda, kama makonda yumo humu ajitokeze kwa anonymous identity, a confirm kushiriki mdahalo.Huyu mleta mada angeita vyombo vya habari hata vile vya udaku vya youtube, tiktok, insta kueleza nia yake ya kutaka mdahalo na Makonda tumwone na tumjue badala ya kung’ang’ania humu JF eti yupo «verified». Amfuate basi kwa PM huyo aliyefanya hiyo verification amwambie nia yake ya kutaka mdahalo na Makonda. Siku za nyuma kidogo alianzisha mada eti anataka azichape live na Chalamila wakati hapohapo yeye hajulikani ni nani?
😂😂😂😂😂
Mi naomba mwenye ile picha yake anaupokea upako kanisani muiweke hapa😂
You need to get your bullshit detector calibrated. This is all just kindergarten playground bravado. His phony ass can’t get beyond the basics like what the heck is his real name?Hello Nyani. It's been a long time. I like this proposed debate