TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

Kwanini nao hawakumleta Mloganzila? Unaona sasa!
 
Wapo wanaosemwa vibaya
Ni kumkosea marehemu

Nakumbuka kilipotokea kifo cha warumi jinsi members walivyokuwa wanaparuana kutaka picha yake wengine wakituma paparazzi wakiwa na kamera za kisasa mradi wapate picha yake

All in all Marehemu waheshimiwe na kunenewa mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…