Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mi nipo katikati ππ au naendeleza unafiki???Mimi nimechoka na kucheka[emoji23][emoji23][emoji23]kule walifurahi huku wanasikitika[emoji23][emoji23]
Mimi nilifurahia niwe mkweli[emoji23][emoji23]
Tafadhali usinitafutie kesi ya mauaji. Wewe hata glass moja ya sweet wine huweziNakuja na balimi zangu kama tatu hivi na double kick mbili.
Shida ya yule dada alikuwa anajieleza sana Maisha yake na harakati zake za maisha ni sawa sio mbaya ila sio kwenye wingi wa watu kila mtu ana mtazamo tofautilakini akabisha, sio kila kitu lazima ulete ubishi kuna muda unanyamaza kuepusha shari
Hii JF ukae kwa akili sana la sivyo ndiyo unajikuta unapotezwa.
Sio kwa JF aisee..watu wakikaa kidogo wanakumbushia..unakua bullied. Huwezi kuwa na amani especially kama una roho legevu[emoji23]
Kama hapa hii issue ina miezi ila watu wamefukua..mwakani tena unakuta kinaulizwa kingine linaingizwa na la mane..unavumilia mwisho unabadili tu
Eeh unajua hata hapa jf wanaume wengi huwa wanapenda avatar , Yani sisi wanaume bana Yani sisi tulishaumbwa kupenda kile tunacho kiona, avatar ikiwa ni ya mrembo sana ujue Kuna mwanaume hapo moyoni anajisemesha "inaonekana huyu dada ni mrembo sana" had akuone ana kwa ana ndo anaanza kuwa disappointed knoma[emoji16]Ni hivi nyie ndio mnajiumbia kichwani kuwa wanawake humu warembo kama malaika Hiyo dhana mfute Uzuri wa mtu Upo machoni kwa mhusika mi naweza kukuona wewe nikavutiwa sana,lakin mwinginee akakuona akaona we mbayaa na hakutaki
Hahahahaaaa. Mambo yasiwe mengi.Hakuna ktu kigumu kama kwenda kumuelezea hisia mtu ambae unahisi siyo hadhi yako, inawezekana pia ndo maana wanawake warembo sana wanachelewa kuolewa maana na yeye akijijua ni mrembo anaku underrate mbaya mbovu kwakua hisia zake ni kuwa na mtu bora zaid yako mwsho wa siku akimkosa ndo anaolewa uzeeni Sasa ili mambo yasiwe meng naamua kusumbuana na kina mwajuma huku mtaani[emoji16]
Hahaha twin ungekosa hapa nimgejimurder[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23]
Nakumbuka kwenye huo uzi ulikinukisha[emoji16][emoji16][emoji848]
Yaan ukatongozwa![emoji848][emoji848]Humu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..
Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.
Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..
Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu
Nacheka sanaa..
[emoji16][emoji16][emoji16]
Hutaki unafki mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kiukweli sikupenda alivyokua anamtetea na kumkandamiza yule kijana na sikupenda pia alivyowekwa wazi
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Tena ukiblock maisha yanakua rahisi tu. Maana shida nyingine ya JF mtu unaweza kuwa hujamkosea popote akakuchukia tu na akasambaza chuki kwa wajinga wenzie. Unashangaa umecomment kitu mahali mtu anakuja kuweka mazingira mgombane. Mi nikishaona hivyo tu nakutia block maisha yasonge.Usiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.
Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.
Tuna washing machine tuacheeπKwahiyo bado mnaendelea na ubuyu? Mmekunywa chai? Hamfui?
πππ
Twin ake....nakuona nakuona[emoji16]Twin [emoji23][emoji23][emoji23]
Bib kikongwe ππππ kuwa makin na mimna vyombo ndani ntaosha?
halafu unawaenjoy watu wewe sio bibi π
I agree ila ndio uwe na moyo wa chuma haswaUsiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.
Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.
Mwambie haaminiNi bibi, mimi babu yenu nawathibitishia
Tafadhali usinitafutie kesi ya mauaji. Wewe hata glass moja ya sweet wine huwezi
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo babu unaruhusu haya?πNi bibi, mimi babu yenu nawathibitishia
Mi nipo katikati [emoji23][emoji23] au naendeleza unafiki???