Sasa wengine tumeweka avatar za kina amber rose jamani utavutiwa nae πππEeh unajua hata hapa jf wanaume wengi huwa wanapenda avatar , Yani sisi wanaume bana Yani sisi tulishaumbwa kupenda kile tunacho kiona, avatar ikiwa ni ya mrembo sana ujue Kuna mwanaume hapo moyoni anajisemesha "inaonekana huyu dada ni mrembo sana" had akuone ana kwa ana ndo anaanza kuwa disappointed knoma[emoji16]
Hahahaha ππUpo kati kati kama Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
hamkupenda Kijana alivyozongwa na hamkupenda dada alivyotolewa siri.....Ila mnatakiwa mchague kimoja msiwe katikati[emoji23][emoji23]
Washing machine ulijinunulia? Au ulinunuliwa na yule kaka mutamu mutamu ππππTuna washing machine tuacheeπ
Ni auto? ππ hamuendi kuongeza mara 15 iendelee kufua, mara u drainTuna washing machine tuacheeπ
Kidume mzima nna ndevu zangu nikatupiwa voko πYaan ukatongozwa![emoji848][emoji848]
Shida ya yule dada alikuwa anajieleza sana Maisha yake na harakati zake za maisha ni sawa sio mbaya ila sio kwenye wingi wa watu kila mtu ana mtazamo tofauti
Eheeeee umeona unafiki unaoendelea hapa asee?[emoji848][emoji848]Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.
Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.
Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Maneno aliyokua anaonge kwenye uzi ule yalimfanya hadi jamaa mleta mada aanze kuomba msamaha kwa wadau. Alianza kujiona yee ndio mwenye makosa kuleta uzi wa kutapeliwa, wadau wakamuweka 18. Mangungu alikoment bila kutaja mtu bidada ikamtachi akampalamia mzee mangungu akamwaga faili zima. Watu walifurahia ila hapa wanajifanya kumtetea.Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.
Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.
Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
I agree ila ndio uwe na moyo wa chuma haswa
Shangaaa...mbona si hatushangai maboroo yao[emoji849][emoji849]Cha ajabu kitu gani hakuna mtu mwenye papa kuishi kwa kuogopa walimwengu ni ufala
Mmh....! Vitu vizito...!!? Kuna vitu vizito vya aina nyingi mkuu. Kuna wasiojulikana,kuna kitu kizito mimba. Kuna kuna kunaaaaa....! Hapo nahofia tu,asiangukiwe na wasiojulikanaWangari Maathai
Waliangukiwa na vitu vizito
Basi mume wangu ngoja nikakufulie nguo sawa?πBib kikongwe ππππ kuwa makin na mim
Usiwape nafasi au Info ya kukufanya uwe bullied, ukiona mtu anaelekea kukukera na huwezi kustahamili unamblock maisha mengine yaendelee.
Humu JF unatakiwa kukaa kwa akili sana.
Depression ya nini sasa? Mbona pia boroo linakuwa hadharani?Papa imeonekana hadharani mkuu depression yake ni hatarii
Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.Upo kati kati kama Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
hamkupenda Kijana alivyozongwa na hamkupenda dada alivyotolewa siri.....Ila mnatakiwa mchague kimoja msiwe katikati[emoji23][emoji23]
πππ mkeo banaBasi mume wangu ngoja nikakufulie nguo sawa?π
Tena ukiblock maisha yanakua rahisi tu. Maana shida nyingine ya JF mtu unaweza kuwa hujamkosea popote akakuchukia tu na akasambaza chuki kwa wajinga wenzie. Unashangaa umecomment kitu mahali mtu anakuja kuweka mazingira mgombane. Mi nikishaona hivyo tu nakutia block maisha yasonge.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Siku hizi humu kumeokoka!Ila siku hizi if mitanange imepungua zamani uwii anatoka huyu anaingia mwingine mwezi kila siku michambo daaah
Siku hizi amani [emoji23]
I like u,I like this commentPanaitwa nyumba ya vioo, usianzishe ugomvi.
Kosa kubwa ni kufikiri watu wa JF wanatoka sayari tofauti, ni hawa hawa tuko nao mtaani. Watu wa kaliba zote.
Waungwana, wenye chuki, wasiojali, wakarimu, wababe, wapole, vichaa n.k uvumilivu na staha jambo la muhimu sana.
Lakini sioni haja ya kuumiza kichwa au kugombana na mru JF ambae haikuongezei wala kukupunguzia chochote.
Binafsi hua nimejiandaa kwa lolote kwa vile najua binadam aliyezaliwa na mwanamke anaweza kufanya chochote, wakati wowote bila kujali chochote.